Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Nami pia kuna projects kadhaa za miaka ya nyuma ambazo kiukweli sikupendezwa nazo na zipo ambazo sikukamilisha kuzitazama lakini wakati mwingine baadaye huwa nafanya maamuzi magumu ya kuzitazama (kwa lazima) na bahati nzuri ninapomaliza kuzitazama, huwa napata kupendezwa na vitu fulani fulani ndani yake.

Kuna msemo fulani unasema "kisichokufaa leo huenda kikakufaa kesho".

Na hili nimelithibitisha kabisa na kwa muda mrefu tu katika projects kadhaa nilizowahi kuziweka pembeni hapo awali kisha nikaja kuzitazama hapo baadaye na kupendezwa na vitu kadhaa ndani yake. Moja wapo ya kazi hizo ni ile maarufu kabisa iitwayo Gu Family Book.
 
Nshaangalia project zake zote za huyo mama ukijumlisha reply zote pamoja na prison playbook ya 2017-2018... hii ya mwisho ukiangalia utacheka sanaaa na pia utajifunza mengi tu
 
πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† nilivuta episode nne hio. Tatizo nimepata hamu ya kujua nini kiliendelea je dokta alishinda au mchepuko ulibeba kombe. Ntakua navuta mbilimbili kila nikivuta drama nyingine mpaka ntaimaliza kibishi kibishi
The world of the married imenishinda pia..nimeishia episode ya 3. [emoji1787][emoji1787]
 
Nimeipenda hospital playlist tatizo wameikatisha panono. Tabu ya wakorea wanaiga balaa(kama bongo movies vile na part two zao). Enzi hizo ilikua mwendo wa episode 50 historical,from nowhere akaibuka mmoja kafupisha episode 30 au 20 wote wakaiga ikashuka episode 16 hewala wakahamia huko. Now ni mwendo wa seasons tu,wakati wanaweza imaliza drama kwa episode 20.

Family drama ndo kabisaa mambo yanavurugika,drama inavutwa mpaka episode 150 wakati episode 50 mambo yanaisha vizuri tu
 
Kuna wengine tukiona drama ina episodes 50 hata hatuhangaiki nayo tunaiacha vitu vifupi ni vitamu...
 
Ukiianza mwanzo na ukaiona tamu au watu wengi wanaisifia utaivuta tu. Ila hospital playlist wangeiweka basi ikaishia episode 16 kwa season one tuone priest mpotevu alivyoendeleza alichokianza.
Kuna wengine tukiona drama ina episodes 50 hata hatuhangaiki nayo tunaiacha vitu vifupi ni vitamu...
 
ukimaliza utanambia kama niendelee au ni uharibifu wa mb..na hivi ina mbs nyingi
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] nilivuta episode nne hio. Tatizo nimepata hamu ya kujua nini kiliendelea je dokta alishinda au mchepuko ulibeba kombe. Ntakua navuta mbilimbili kila nikivuta drama nyingine mpaka ntaimaliza kibishi kibishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…