Pata Premium Netflix acount kwa bei ya karanga
Ni Ultra HD acount
Ina uwezo wa kushare na ndugu na majaa na marafiki
Ni Tsh 3000/= tu kwa mwezi
Utalipia baada ya kupata acount yako
Nicheck whtspp +255674294643View attachment 1488422View attachment 1488425
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Netflix wanaonyesha na mpira ama ni movie tuPata Premium Netflix acount kwa bei ya karanga
Ni Ultra HD acount
Ina uwezo wa kushare na ndugu na majaa na marafiki
Ni Tsh 3000/= tu kwa mwezi
Utalipia baada ya kupata acount yako
Nicheck whtspp +255674294643View attachment 1488422View attachment 1488425
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Maana nimetoka kupakua "NAKED KILLERS MOVIE" tena HD ambayo ni top best yenye MB nyingi tu lakini inaonesha vibaya kama vile ilichezwa mwaka 1947.Waungwana naomba kujua hiyo link ya Korean siries/movies/drama inapakua HD videos kiasi cha mwonekano maridhawa au ni sawa na zile tunazopakua YouTube?
Naked killer si mpya ni ya miaka ya 90 pole kwa kuiangalia LeoMaana nimetoka kupakua "NAKED KILLERS MOVIE" tena HD ambayo ni top best yenye MB nyingi tu lakini inaonesha vibaya kama vile ilichezwa mwaka 1947.
Sawa, nimekupata Mjomba, naomba nijue namna mnavyopakua hizo video kupitia link ya hapo juu maana jana nilijaribu kupakua muvi ya "Bridal mask" lakini hata sikufanikiwa maana kila nilipokuwa nikipakua nililetewa sehemu ya kubonyeza "Allow" na nilipobonyeza hata sikuambulia chochote zaidi ya kukutana na matangazo tu.Naked killer si mpya ni ya miaka ya 90 pole kwa kuiangalia Leo
Sisi vijana WA zaman tunakumbuka
Wadada makatili sana
Sawa, nimekupata Mjomba, naomba nijue namna mnavyopakua hizo video kupitia link ya hapo juu maana jana nilijaribu kupakua muvi ya "Bridal mask" lakini hata sikufanikiwa maana kila nilipokuwa nikipakua nililetewa sehemu ya kubonyeza "Allow" na nilipobonyeza hata sikuambulia chochote zaidi ya kukutana na matangazo tu.
Ipi hii
Ipi hii
itafute utojutia, labda Waaribu Mbele Mbele Uko.Hahaaaa usije ukafanya nikapoteza mda na mb zangu bure.
It`s Okay Not To Be OkayIpi hii
Mi nilishaitaibiria kua ni kali,daaah naisubiri tu iishe maana sitaki presha za hapa na paleitafute utojutia, labda Waaribu Mbele Mbele Uko.
Ila Kwa Izi Episode Nne Ni Konki
Bado Sijajua Kwanini napata uzito kuiangaliaKwa walio miss historical,waweza tazama
King maker.the change of destiny
Ina Udambwi Dambwi Mtamu Sana Hasa Lead ActressMi nilishaitaibiria kua ni kali,daaah naisubiri tu iishe maana sitaki presha za hapa na pale
Ni nzuri,au hujabarikiwa na main characters?Bado Sijajua Kwanini napata uzito kuiangalia
Nimeeishia Episode 1 Dakika Ya 20.
Ngoja Nijikaze Ni Nzuri?
Mbona nashawishika jamani.Ina Udambwi Dambwi Mtamu Sana Hasa Lead Actress