juzi moja nimepitia thread fulani humu ndani (imeanzishwa na member fulani) anasema six flying dragons ndio historical drama bora, nilishindwa hata kumpa like
nikaikumbuka beti ya yule mjinga kwenye shairi la wimbo wake wa taarabu asilia anasema
mapenzi yamemtia upofu.
kama unausikia ule msemo wa
kufa nitakufa lakini cha moto mtakiona ndio hii, wazee wa age of warriors wanakufa kibabe
---------------------
wewe mjinga upunguze kulitaja jina langu mara kwa mara.
unanipunguzia riziki za kupata pesa.
halafu bado shule haijafungwa?