Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwahiyo huyu dogo ana miaka 35? Kweli tuna mengi ya kujifunza kutoka kwa wenzetu.
unamwitaje dogo haliyakuwa anashutumiwa kutelekeza damu yake iliokuwa tumboni tena iliopatikana kwa mechi ya siku 1 tu.

futa kauli yako, halafu kwa wakorea miaka 35 bado ni mchanga
 
unamwitaje dogo haliyakuwa anashutumiwa kutelekeza damu yake iliokuwa tumboni tena iliopatikana kwa mechi ya siku 1 tu.

futa kauli yako, halafu kwa wakorea miaka 35 bado ni mchanga
Hawa watu wanajua kutunza ngozi zai aiseeeh, kwao mwanamke mwenye miaka 40 ni wa moto balaa ila huku kwetu sasa.
 
Na Ndomna Wanatumiaga Nguvu Kubwa Sana Kuzuia Aina Hii ya Matukio Kutoka Nje, Inawaharibia Sana Uku Kwetu ndo Ingekua Kiki Hii, Ila Kwao Ni Zaidi ya Career Inayoharibika that’s Bad Dah!

Nimejiskia Vibaya Baada Ya Muda Mrefu Wa Kua Actor Now Anaanza Kula Matunda, Matunda Yanaaribiwa Ivyi Ivyi Lol! Mola Ampiganie.

Na Ndo Sabbu Pia Ya Matukio Yakujiua Wasanii Wao Kua Ya Mara Kwa Mara.

Kua Kweli au Uongo Wanajua Wao Na Ni Maisha Yao Binafsi Ila Si Kwa Korea.
 
Daemushin
The Happiness na wengine changamkieni fursa

 
  1. nafikiri ofa ya halotel ni kwa wateja wapya (wale waliokuwa hawana account), nilishatengeneza ya kwangu tokea mabadiliko yale ya mwanzoni
  2. nimeangalia vifurushi vyao kupitia application ya halotel bado havijabadilishwa (sijui kama ni kweli au ndio wamechelewa kubadilisha info), leo inshaallah nitajaribu kununua bando kupitia application yao ili nijue mbichi na mbivu
  3. tigo nimejaribu, wameniletea ujumbe wa IMEI
  4. nitaendelea kubaki na halotel, bado GB 2 kwa shilingi 3000 ni nafuu tena kwa wiki nzima(ukinunua kwa halo pesa)
 
Ya tigo wanasema inakubali kwenye simu za infinix. Nilikua na account tangu mwanzo ila sikua nimejiunga app ya halopesa. Ukiwa na accoumt halopesa ila haukuwa umevuta app yao unazipata gb zao
 

Daah hii kweli ngoma nzito, hapa maana yake hawajakataa. Ila wakorea kwa nini wanapenda kuharibiana maisha hivi?
 

Ila nao wanajijua jinsi haya mambo yanavyowaharibia kwa nini wanafanya huu ujinga jamani
 
Nimeipata ya halotel
Nimetoka kununua lain juzi tu alafu usiku pack ikaondolewa
 
Kim seon ho wangu [emoji26]
 
Wana wivu sana. Wakiona mtu keshapanda juu wanatafuta tukio la kumshusha. Hasa wadada ndo zao. Mfano yule jamaa waliyesema alikua bully shuleni walitakiwa watoe taarifa ya scandal yake kabla hajawa maarufu wakasubiria kwanza kaanza kufanikiwa ndo wakamshusha
Daah hii kweli ngoma nzito, hapa maana yake hawajakataa. Ila wakorea kwa nini wanapenda kuharibiana maisha hivi?
 
kumekucha kwa chief hong
kazi yangu ni kushusha post tu, mjadala nawaachia wenyewe
===========

Kim Seon Ho Apologizes For Controversy Involving Ex-Girlfriend​

This is Kim Seon Ho. I sincerely apologize for the belated statement. I experienced a fear that felt for the first time after the article with the mention of my name was released a while ago, and that is why I am writing this now.

I was seeing her with good emotions. In that process, I hurt her due to my carelessness and inconsiderate actions.

I wanted to meet and apologize to her directly, but I am not able to properly convey the apology now and am waiting for that time to come. For now, I would like to genuinely apologize to her through this statement.

I apologize for also disappointing all of those who trusted and supported me until the end. It was all thanks to those who supported me that I was able to become the actor Kim Seon Ho, but I had forgotten that. I apologize for causing trouble to my co-stars and all of the related staff who worked with me due to my flaws. I would like to sincerely apologize to everyone who was hurt.

I am aware that this rambling statement will not fully reach your hearts, but I am still attempting to convey my sincere thoughts. I am very sorry.
 

Kim Seon Ho Confirmed To Leave “2 Days & 1 Night Season 4”​

Hello.

This is the KBS2 “2 Days & 1 Night Season 4” production team.

We have decided on the withdrawal of Kim Seon Ho, who was recently involved in a controversy.

We will do our best to edit him out of the already filmed footage to reduce the discomfort felt by viewers.

The “2 Days & 1 Night” team will continue to work hard to create a good show. Thank you.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…