Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Aisee aliependekeza kimoitv humu ametisha sana, ni nzr kuliko nkiri, ina mb chache sana na hii ina movies na series karibu zote unazozitaka bila kujalisha ya kijapani korea au kizungu.. Tofauti na nkiri wao ni almost korean tu.
 
Mkuu shukran sana aisee, nimekumbuka kumbe ndie ulietuletea hii kimoitv humu iko poa sana mb chache na ina collections nyingi zaidi kuliko nkiri, mpk breaking bad etc zimo humo.
 
Mimi pia nilifurahi ila walinikera tu wale wahuni waliokuwa hospitali...hakukuwa na ulazima wa wale kuwepo kule
Ndio,japo sio mpenzi wa mambo ya ushoga ila yule jamaa shoga alokua anampenda bosi alijua kuniacha hoi zile swaga zake
Yani nilicheka mpaka nikasahau shida za maji na umeme😂😂
 
Aisee aliependekeza kimoitv humu ametisha sana, ni nzr kuliko nkiri, ina mb chache sana na hii ina movies na series karibu zote unazozitaka bila kujalisha ya kijapani korea au kizungu.. Tofauti na nkiri wao ni almost korean tu.
Kwenye mb chache nkiri wako vzuri sana ila kimo wana series nyingiii[emoji91][emoji91][emoji91]
 
Ndio,japo sio mpenzi wa mambo ya ushoga ila yule jamaa shoga alokua anampenda bosi alijua kuniacha hoi zile swaga zake
Yani nilicheka mpaka nikasahau shida za maji na umeme😂😂

Mimi alikuwa ananikera yule aliyekuwa anadondosha meno yaani raha ya drama ilikuwa inaisha pale ila wengine wote walikuwa moto sana
 
humo nimeitafuta 6 headed shark attack sijaipata. atakayeipata link plz
Mkuu shukran sana aisee, nimekumbuka kumbe ndie ulietuletea hii kimoitv humu iko poa sana mb chache na ina collections nyingi zaidi kuliko nkiri, mpk breaking bad etc zimo humo.
 
Tatizo la KimoiTv ni kwenye searching, yani kuja kuipata movie fulani inabidi uhangaike sana hâta kama ipo.Nadhani huko kwao wanazi-brand drama kwa majina ambavyo hayajazoeleka.

Kwamfano, now nafatilia historical drama moja hivi ya kikorea inaitwa THE REBELS, uke NKIRI ipo lakini huku kila nikichoke siipati.Nilitaka nilimaanisha MBs za huko na za kule NKIRI,ila nimekata tamaa.
 
kama umeshaidownload na kuziona server haina haja ya mb. kazi hapo ni kuilazimisha server ikubali. mara nyingi huwa inasema user server limits.

mara ya kwanza ilinigomea nikaja kuijaribu saa kumi usiku ikakubali maana watu wanakua wamepungua ,hapo unaenda nayo siku nzima,kazi ni kuadd time tu
Mi nakosea wapi
Haikubali nikajikuta natumia mb zote zimeisha alafu ikagoma ku connect
 
Ni nini hiki mnazungumzia, sitaki kupitwa😅
 
Hivi kwani mnazungumzia kitonga gani?
Kama una uvumilivu tafuta laini ya TTCL nikupe mchongo nna miezi zaidi ya 7 siijui kuhusu mabando napakua daily at least episodes hata 10

Kama unayo download vpn playstore inaitwa Wire Tun then kama una mb fungua hiyo app usubiri servers zitokee zote then unachagua unayotaka,haipo vizuri sana but kwenye kudownload ipo moto sana yaani hadi 2mbps inapiga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…