Hapo kwenye episode 123 nimepiga mahesabu, ikiwa kila episode itachukua 100MB basi itakulazimu iandae zaidi ya GB 12.Namalizia revolutionary sister(50 episodes) sijatuliaa jicho limedondokea kwa gangnam scandal (episode 123)za episode mia huwa zinavutwaa mpaka kukosa uhondo husika
Hapo kwenye episode 123 nimepiga mahesabu, ikiwa kila episode itachukua 100MB basi itakulazimu iandae zaidi ya GB 12.
Daaah, ndo ile issue ya TTCL?😂😂😂😂😂mseleleko upo on firee. haya mahesabu nilishayasahau aisee
Mimi ije mvua lije jua most beautiful actress ni Moon chae won....nampenda yule mdada jamaniYes tumetofautiana sana yani
Wewe uko kama mimiMimi nikivutiwa na actress ntampakenyua kila kona, ila mara nyingi utawajua kama ni mfatuliaji wa korean industry in various platforms. Surelly If God wishes kuna siku nitaenda huko nikapaone tu, series zao zimenifanya nitamani kujua mengi sana kuhusu wakorea.
Kasumba yao ni ubaguzi tu.
ilinishinda hii. actor pekee niliyemfahamu jina na kukariri mpaka leo ni lee minho pekee nilipojaribu kumgoogle aah wakataka kunipunguzia uhondo mara plastic surgey mara katoswa na bae.
kwa ubaguzi wale wapo vizuri maana wao kwa wao tu wanabaguana na kubullyiana vibaya mno. kwenye mail zao ni ngumu mno kumuona muafrika naona wameutenga mji wa itaewon kuwa wa mchanganyiko
Hakuna sehemu isiyo na ubaguzi,shida ilipo ni kwamba kawaida kabla ya kufanyiwa ubaguzi mtu mweusi hujianza kujibagua kiimani kwa kujikuta inferiorilinishinda hii. actor pekee niliyemfahamu jina na kukariri mpaka leo ni lee minho pekee nilipojaribu kumgoogle aah wakataka kunipunguzia uhondo mara plastic surgey mara katoswa na bae.
kwa ubaguzi wale wapo vizuri maana wao kwa wao tu wanabaguana na kubullyiana vibaya mno. kwenye mail zao ni ngumu mno kumuona muafrika naona wameutenga mji wa itaewon kuwa wa mchanganyiko
Moon Chae Won dah yale macho yake aisee mazuri sana kama makengeza flani hivi.Mimi ije mvua lije jua most beautiful actress ni Moon chae won....nampenda yule mdada jamani
Umeona eeh? Na ana kashepu fulani hivi ambako ni nadra kukakuta kwao huko. Nawashangaa akina Joon gi wanakaa single mpaka forty huko warembo kama hawa hawawaoni?Moon Chae Won dah yale macho yake aisee mazuri sana kama makengeza flani hivi.
I see unampenda ushawahi weka dp yake ya Mama Fairy[emoji23]
kabisaa😂😂😂Daaah, ndo ile issue ya TTCL?
waafrika tunajibagua ila wahindi na wakorea ni kiboko.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ukaona isiwe tabu
Anyway tumuombee mac Alpho afike korea aje atuhadithie alivyofaidi mi jajanjamion,kimchi etcHakuna sehemu isiyo na ubaguzi,shida ilipo ni kwamba kawaida kabla ya kufanyiwa ubaguzi mtu mweusi hujianza kujibagua kiimani kwa kujikuta inferior
Joon Gi alikuwa naye Jeon Hye Bin ili ubize ukawatengenisha Bibie akaolewa na non-celebrityUmeona eeh? Na ana kashepu fulani hivi ambako ni nadra kukakuta kwao huko. Nawashangaa akina Joon gi wanakaa single mpaka forty huko warembo kama hawa hawawaoni?
Mambo yasiwe mengi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kabisaa. ukiwajua sana utaanza wachoka hasa skendo zao ndogo ndogo na kubwa kubwa. chief hong wa cha cha na jamaa wa historical drama ya juzi juzi aliyekwaa skendo ya bullying shuleni kila nikiona drama yake naishiwa pozi. drama tamu lakini muhusika kachafuka daah
Nae ni wa motoMimi ije mvua lije jua most beautiful actress ni Moon chae won....nampenda yule mdada jamani
Tatizo Korea ndoa sio kipaumbele kabisa..hasa kwa carrier woman/man. Naona wanahisi ndoa inaweza kumkwamisha au vipi..na hata hao wanaooana wengi wao huwa hawadumu kabisaUmeona eeh? Na ana kashepu fulani hivi ambako ni nadra kukakuta kwao huko. Nawashangaa akina Joon gi wanakaa single mpaka forty huko warembo kama hawa hawawaoni?
Baadhi wanamaintain kama Ji Sung na Lee Bo Young ama In Gyo Jin na So Yi Hyun tena hii couple ni happy kinomaTatizo Korea ndoa sio kipaumbele kabisa..hasa kwa carrier woman/man. Naona wanahisi ndoa inaweza kumkwamisha au vipi..na hata hao wanaooana wengi wao huwa hawadumu kabisa
Hivi Son ye jin ipo confirmed? Nilijua ni rumours tuJoon Gi alikuwa naye Jeon Hye Bin ili ubize ukawatengenisha Bibie akaolewa na non-celebrity
Kuchelewa kuoa jadi yao kama hadi leo Kim Jong Kook hadi leo hana hata mchumba wa kusingiziwa[emoji23]
Acha tusubiri ubwabwa wa akina Park Shin Hye na Son Ye Jin
Ni kweli hata mimi naonaTatizo Korea ndoa sio kipaumbele kabisa..hasa kwa carrier woman/man. Naona wanahisi ndoa inaweza kumkwamisha au vipi..na hata hao wanaooana wengi wao huwa hawadumu kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unaweza kusema ni happy kinoma siku isiyo na jina unasikia boom..divorce. Hawa watu mimi nilishaacha kuwaamini wakisema tunapendana nasema asante, tumeachana nasema amina.Baadhi wanamaintain kama Ji Sung na Lee Bo Young ama In Gyo Jin na So Yi Hyun tena hii couple ni happy kinoma
At least couple ikiwa na watoto inakuwa na asilimia chache za kuvunjika kama hizo mbili.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unaweza kusema ni happy kinoma siku isiyo na jina unasikia boom..divorce. Hawa watu mimi nilishaacha kuwaamini wakisema tunapendana nasema asante, tumeachana nasema amina.
Hiyo ni kweliAt least couple ikiwa na watoto inakuwa na asilimia chache za kuvuniika kama hizo mbili.