Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Mimi ije mvua lije jua most beautiful actress ni Moon chae won....nampenda yule mdada jamani
Huyu Moon Chae Won nilimuelewa zaidi kwenye GOODBYE MR BLACK, ile drama alijua kuicheza. Kwenye hiyo movie niliokiwa nakachukulia kama ka-teenager nilikuja kushangaa kumbe kama mika 32 kwa muda huo (2016).

Hawa wakorea sijui inakuwaje hawazeeki.
 
😂😂😂😂hio hio

kabisaa😂😂😂

waafrika tunajibagua ila wahindi na wakorea ni kiboko.

Anyway tumuombee mac Alpho afike korea aje atuhadithie alivyofaidi mi jajanjamion,kimchi etc
Hilo liko wazi, wakorea ni wabaguzi hakuna mfano ndomaana hâta kwenye drama zao ni ngumu sana kukuta rangi nyeusi tofauti na Hollywood.

Mimi ni lazima nitafika tu huko.
 
Huyu Moon Chae Won nilimuelewa zaidi kwenye GOODBYE MR BLACK, ile drama alijua kuicheza. Kwenye hiyo movie niliokiwa nakachukulia kama ka-teenager nilikuja kushangaa kumbe kama mika 32 kwa muda huo (2016).

Hawa wakorea sijui inakuwaje hawazeeki.
Ninavyompenda utadhani nimeangalia kazi zake zote kumbe hamna kitu. Nimeangalia kama nne tu sasa hivi ndio nataka niangalie The Princess' man
 
Mkuu haka kamseleleko ulikotupatia mbona mimi kananishinda? Nimejaribu kila muda nimeshindwa...au nikibahatika kupata network inapakua kidogo ikifika kama asilimia 50 au 30 inasimama haiendelei tena
 
Mkuu haka kamseleleko ulikotupatia mbona mimi kananishinda? Nimejaribu kila muda nimeshindwa...au nikibahatika kupata network inapakua kidogo ikifika kama asilimia 50 au 30 inasimama haiendelei tena
Inategemea na browser unayotumia nyingi hazimudu,suluhisho ni UC browser ipo vyema.

Hata hivyo hata mimi siku mbili hizi inasumbua nahisi servers zimezidiwa but inaonekana kukaa sawa sasa.
 
Inategemea na browser unayotumia nyingi hazimudu,suluhisho ni UC browser ipo vyema.

Hata hivyo hata mimi siku mbili hizi inasumbua nahisi servers zimezidiwa but inaonekana kukaa sawa sasa.
Hii ndio kabisa hata kufunguka haifunguki ila nitaendelea kujaribu
 
Hii imeishaje,mana nilianza nayo nilipoona king anakaribia kugundulika kuwa ni she nikaacha mana presha juujuu siwezi kabisa[emoji1]
Usijali we angalia ni happy ending japo episodes ya 19 na 20 ni full damu kumwagika hali ilikuwa mbaya baada ya yule Prince Wonsan kutaka kufanya mapinduzi na Lord Sangheon hadi akamuua yule Prince Mdogo ambaye ndiye alikuwa anatarajia kuwa mfalme mara tu Hwi akiachia kiti kwa hiyari.

Inspector Jung baada ya kifo cha rafiki yule bodyguard commander Yoon kidogo akaanza kufuata upande sahihi na kushirikiana na mwanae Jung Ji Un japo kwenye hii battle ya mwisho anauliwa na Lord Sangheon.

Alichokifanya mtoto wa kike ni kujilipua tu alitaka maongezi ya amani na Babu yake wakipata chai kumbe kaweka sumu wafe wote acha mzee Baba apagawe [emoji23][emoji23]

By the way sitaki kuwa spoiler imalizie tu ni kali sana unaambiwa don't judge a book by it's cover,hii drama ukiiona kwa nje unaweza sema ni romantic comedy lakini ndani yake full action
 
One ordinary day nilikua nairuka vile cover jeusi Ila woiii

Now, we are breaking up...wale second lead ndo nawapenda, song he Kyo na mwenzio vile tu wacute Ila stori ya kawaida

Nina inspector Koo na Jirisan, nishazishusha

Idol the coup, na recommend ambaye hajatazama iko vizuri.

Ila jtbc Wana drama nzuri za hustling
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…