Ndio utoe maelezo bossTumia app ya HA tunnel plus
Movie ya Tomb of the river naipataje nimejaribu kimoitv, nkiri haipoNatumia Kimoitv,Nkiri,Seriezuploded n.k
The VeilKuna action yoyote kali iliyotoka baada ya vagabond....
Naomba list
Je ninaweza kutumia hiyo app kama nikuwa natumia mtandao wa halotelBila bando ndio
Mfanyie basi huyo bibie mimi nimejaribu nimeshindwaBila bando ndio
Ngoja nifanye maarifaFungua tuition Imo,
unajua mama mwenye nyumba amesema kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake.
Ttcl, unatakiwa upakue hiyo ha tunnel play store kisha upate file lake ambalo utakuwa unaimport kila ukitaka kutumia...nilijaribu kutuma file hapa jf nikashindwaNdio utoe maelezo boss
Laini ipi !?
Una connect vipi!?
Naomba unipe hayo maujanja ya Ha tunnelMimi pia wiretun ilinishinda, sasa hivi natumia ha tunnel inanifanyia amani sana[emoji1787][emoji1787]
Soma komenti yangu hapo juuNaomba unipe hayo maujanja ya Ha tunnel
Tuelekeze tu tunalipataje hilo file bado hujatusaidia mkuuTtcl, unatakiwa upakue hiyo ha tunnel play store kisha upate file lake ambalo utakuwa unaimport kila ukitaka kutumia...nilijaribu kutuma file hapa jf nikashindwa
Kumbe kuna file ndo mana haikubali [emoji1787]Ttcl, unatakiwa upakue hiyo ha tunnel play store kisha upate file lake ambalo utakuwa unaimport kila ukitaka kutumia...nilijaribu kutuma file hapa jf nikashindwa
Eeh lipo, kama upo radhi uje WhatsApp nikupeKumbe kuna file ndo mana haikubali [emoji1787]
Nakushuru kunijuza young lady and gentlemanNdani ya GHOST DOCTOR
Nakushuru kunijuza young lady and gentleman
Mana nacheka mpaka basi,hii episode mama ake wa kambo mr.lee anataka kujiua baharini alafu akaona maji ya baridi akaahirisha mana nimecheka nusu nizimie!πππ
Yule maza ni noma sana kwenye kuigiza sio kwa kuwaita wenzie parasiteππ