Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Hivi watu wana mapepo au namna gani, hivi mtu mwenye akili timamu anafanyaje upuuzi wa kwenda kujitapa kwa wenye mtandao wao
 
Hapo sasa sijui akili za wapi hizo. Kuna wengine wakawa wanauza na utapeli wa kila aina. Kuna mwingine alikua anaenda ofisi za mitandao husika kuripoti hizo VPN ati kwa gia ya uzalendo na kutuma sms za kila aina kwa wenye mitandao madai yake wote tununue bando
Hivi watu wana mapepo au namna gani, hivi mtu mwenye akili timamu anafanyaje upuuzi wa kwenda kujitapa kwa wenye mtandao wao
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu wapuuzi sana. Eti tununue bando..bando zipi?? Pambaf kabisa
 
Hivi wakorea mayai yaliwakoseaga nini au wapi maana wapo fasta kutupiana mayai,hasa mtu akiwa na kosa,mtuhumiwa,,staa au mtu wasiyempenda wanatumia hata trei zima kumponda. Bora wangetumia viza ila haya haya mazima ya kwenye kiepe hasara tupu
 
Hivi wakorea mayai yaliwakoseaga nini au wapi maana wapo fasta kutupiana mayai,hasa mtu akiwa na kosa,mtuhumiwa,,staa au mtu wasiyempenda wanatumia hata trei zima kumponda. Bora wangetumia viza ila haya haya mazima ya kwenye kiepe hasara tupu
Mimi pia huwa nawaza, inamaana huko kwao mayai ni kisicho na thamani kiasi hicho??
 
Hivi wakorea mayai yaliwakoseaga nini au wapi maana wapo fasta kutupiana mayai,hasa mtu akiwa na kosa,mtuhumiwa,,staa au mtu wasiyempenda wanatumia hata trei zima kumponda. Bora wangetumia viza ila haya haya mazima ya kwenye kiepe hasara tupu
Eti jamani, hivi hawawezi kushtakiwa kwa kuharibu chakula[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii inaenda sambamba na ile eti wako kwenye sherehe mtu kaudhiwa anachukua keki anamkandika nayo mtu usoni. Jamani...keki kweli??? Si utandike tu makofi keki yetu utuachie?
 
Na kuku wanavyozimwaga eti mtu kashtuliwa mpaka mkono ukalegea. Kama ni maigizo wamevuka mipaka waangaliaji tunakua tuna njaa za kutosha tunaona mikuku,keki zinamwagwa. Wanachoheshimu ni wali tu sijaona wakipondeanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yaani inashangaza,ila sijawahi kuona mapishi chips yai kwao. Naona mapishi mengi ya mayai wanakula wenye hela zao hasa muda wa breakfast,pia nikiiona mifuko ya plastic najiuliza wapo dunia ya wapi hawa hawana marufuku ya hio mifuko
Mimi pia huwa nawaza, inamaana huko kwao mayai ni kisicho na thamani kiasi hicho??
 
Yaani inashangaza,ila sijawahi kuona mapishi chips yai kwao. Naona mapishi mengi ya mayai wanakula wenye hela zao hasa muda wa breakfast,pia nikiiona mifuko ya plastic najiuliza wapo dunia ya wapi hawa hawana marufuku ya hio mifuko
Nadhani hawajaipiga marufuku hiyo mifuko kwasababu wanaweza kui-manage, tofauti na huku bongo ambako system za waste disposal bado ni mtihani.

Najaribu kuingi PM kwako, nashindwa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na ile mtu eti kafika cafe kaagiza kinywaji, ice cream au kitafunwa chochote mara kabla hajala anapokea simu anaacha kila kitu hapohapo anakimbia
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na ile mtu eti kafika cafe kaagiza kinywaji, ice cream au kitafunwa chochote mara kabla hajala anapokea simu anaacha kila kitu hapohapo anakimbia
Hii kwa bongo sidhani kam inawezekanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.

Halafu hivi simu zao huwa ni za kupiga na kupokea tu??
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Bongo movies waliiga hii wakaja kuumbuliwa na video za behind the scene,director akisema cut walio location wote wanakimbilia mezani kugombania misosi iliyopo.

Daah hawa watu huwa kwenye ice cream ndo wananiacha hoi hajailamba hata kidogo anaiacha ila zile tambi wanakula zoote na mchuzi wakeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kwenye kupika jikoni wanaonja kwenye kijiko au mwiko huo huo anaopikia daah mitihani kwa walaji
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na ile mtu eti kafika cafe kaagiza kinywaji, ice cream au kitafunwa chochote mara kabla hajala anapokea simu anaacha kila kitu hapohapo anakimbia
 
Nadhani hawajaipiga marufuku hiyo mifuko kwasababu wanaweza kui-manage, tofauti na huku bongo ambako system za waste disposal bado ni mtihani.

Najaribu kuingi PM kwako, nashindwa.
Ni kweli kabisa, yaani wenzetu hadi kwenye makazi ya watu maskini mfumo wa taka ni mzuri (kama wanayoigiza ndio ukweli)
 
huenda wakorea hawaangalii taarifa ya habari mpaka mwisho, huwa nacheka sana nikiwaona wanazima tv baada ya kupata breaking news.
reply 1988 drama kidogo ndio walikuwa wanaangalia taarifa ya habari. haya endeleeni kushusha vituko vyao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…