Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Mo Palmo safi sana uyu mzee..
nimekumbuka scene moja wadau wa south faction wapo kwenye kikao wanatoa point Mo palmo yy ikifika zamu yake anasema "older brother" tu. (kwa kikorea spelling zimepita kushoto)
 
Hawa kimoi tv ni washenzi sana website imejaa ads hadi kero, kila ukibonyeza ads ukirudi back ads wangese sana hawa.

Kuna movie nilitaka kudownload hadi nimeahirisha.
 
Mie dramacool hadi nimeshaisahau ina matangazo mengi na ngumu kudownload drama yoyote,dramanice,daeback niliteseka enzi zinavuma ila zilinipa uzoefu wa kuyakwepa matangazo. Kimoi na nkiri sihami. Wabarikiwe waliotupa majina ya hizi site bila kusahau ujanja wa kitonga full bata no bando stress
Mna moyo sana aiseeh, mimi nakereka hadi natamani kutupa simu chini. Hiyo website siwezi kuridi tena.
 
Kitonga bado ha tunnel iko moto? Mimi line ya ttcl nimepoteza kama bado ipo nikasajili nyingine aisee
 
Hamuwezi amini licha ya kuingia kwenye ulimwengu wa korean dramas 2015, keo ndo naingalia DONG YI baada ya kuipuuza kwa muda mrefu sana licha ya kuwa recommended kwa muda mrefu sana.

Hii ni baada ya kukosa series za maana.
 
Afadhali umetoka kwenye wingu la south vs north maana nimesaka drama ya aina ile sijaipata.

Kuna Encounter (ya mjini)flower in prison(ya magauni,vijijini)kama hujawahi kuziangalia vuta ni nzuri
Hamuwezi amini licha ya kuingia kwenye ulimwengu wa korean dramas 2015, keo ndo naingalia DONG YI baada ya kuipuuza kwa muda mrefu sana licha ya kuwa recommended kwa muda mrefu sana.

Hii ni baada ya kukosa series za maana.
 
😂😂😂😂😂Hayo mavazi yao yanafurahisha sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Numbisa bwana eti ya magauni
Na wanajua kuyaremba na kuyatunza yasichezewe kwa style za kisasa mfano kuwa kimini au mabega wazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…