Man na niko panoja na we nafatilia eve illa ngoma inaanza kuwa tamu kuanzia ep ya 9Naambiwa hapa Eve ya wiki hii tena itakuwa ni 19+ rated.
Sina moto wa kuitazama sipendi contents zile ukizingatia Seo Yeji sijawahi kumkubali
Me huwa natumia http kama nikiwa seriously kwa wiki ni Gb 15Mnaolalamika HA haifanyi kazi mbona kwangu natumia sana mfano leo nimetumia GB 2.1 na hapo niliconnect saa 1:45 siku nikiwai saa 12 huwa natumia mpk GB 4
orijino sijawahi iangalia ila hii ya korea nimevuta episode mbili ,sijaipenda hapo kwenye umagharibi,wangeiweka kivyao(kikorea) ila nadhani masharti ya Netflix na copyrights yaliwabana.. Asilimia kubwa za korean drama zenye nembo ya netflix huwa sizielewi hazina ladha kama zenye nembo za tv za kikorea
Umesema kweli, mimi nikashaona drama ipo Netflix huwa najivuta sana kuiangalia.orijino sijawahi iangalia ila hii ya korea nimevuta episode mbili ,sijaipenda hapo kwenye umagharibi,wangeiweka kivyao(kikorea) ila nadhani masharti ya Netflix na copyrights yaliwabana.. Asilimia kubwa za korean drama zenye nembo ya netflix huwa sizielewi hazina ladha kama zenye nembo za tv za kikorea
Umesema kweli, mimi nikashaona drama ipo Netflix huwa najivuta sana kuiangalia.
Umesema kweli, mimi nikashaona drama ipo Netflix huwa najivuta sana kuiangalia.
Nipo bwana, kumbe hujaona mrejesho wangu hapo juu. Leo asubuhi nimepakua aiseeTupo wengi kumbe. Ila nasikitika umeshuka kwenye behewa la ha tunnel. Naombea mbeleni urudi ikubali kama mwanzo,raha ya mseleleko tuwe wengi
Nipo bwana, kumbe hujaona mrejesho wangu hapo juu. Leo asubuhi nimepakua aisee
Huyu rafiki yangu hana bahati na wanawake[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanawake anaokuwa nao ni ngumi mkononi (strongest delivery man & Reply 1988)
View attachment 2272334
Nenda kimoitv unazikuta hadi za zamani, zipo pia nkiri.com na nyingine ni netnaija huku utapata baadhiWe hiyo k drama umeitolea wapi au huwa unazitolea wap?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] itakuwa director huyo ila yeyote aliyefanya hivi mbingu ataisikia tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu pote anakua mpole. Hio style ya nywele sijui nani alimchagulia
"Lakini kwa sisi ambao tushaangalia original..."For me sijaipenda siwezi kuangalia kitu ambacho kipo copy and paste sijui hapo unaangalia kitu gani, kwa mtu ambaye ajaicheki money heist original hii ataipenda lakini kwa sisi ambao tushaangalia original yake tulitegemea angalau hii ya kikorea igebadilika kidogo ili ilete mvuto kwa watazamaji lakini hola
Umagharibi kwenye series za kikorea kule NETFLIX, angalia hata ile "all of us are dead" kuna kauli za matusi mule mpaka huwezi amini kama wale ni wakorea[emoji1].orijino sijawahi iangalia ila hii ya korea nimevuta episode mbili ,sijaipenda hapo kwenye umagharibi,wangeiweka kivyao(kikorea) ila nadhani masharti ya Netflix na copyrights yaliwabana.. Asilimia kubwa za korean drama zenye nembo ya netflix huwa sizielewi hazina ladha kama zenye nembo za tv za kikorea
Mimi huo mseleleko umenipita tangia uanze, hii ni kutokana na line inayotakiwa.Tupo wengi kumbe. Ila nasikitika umeshuka kwenye behewa la ha tunnel. Naombea mbeleni urudi ikubali kama mwanzo,raha ya mseleleko tuwe wengi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] itakuwa director huyo ila yeyote aliyefanya hivi mbingu ataisikia tu
Hapo tu ndo wanaharibu bora waendelee na aigooo zaoMimi huo mseleleko umenipita tangia uanze, hii ni kutokana na line inayotakiwa.
HONGERENI.
Umagharibi kwenye series za kikorea kule NETFLIX, angalia hata ile "all of us are dead" kuna kauli za matusi mule mpaka huwezi amini kama wale ni wakorea[emoji1].
JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala you...Asshole...Bitch..motherfucker, tena kama hilo neno "JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala you" ilikuwa ni kama salamu, kila anaekasirishwa basi ni lazima aseme hivyo.
Izi western platform wanavohusika na ndugu zetu wakorea muelekeo wake sio mzuri huko baadaeKila kitu kilisimamiwa na Netflix, wasingeweza kuweka ukorea wao.
KwaniniIzi western platform wanavohusika na ndugu zetu wakorea muelekeo wake sio mzuri huko baadae