emmylove45
Member
- Dec 2, 2016
- 38
- 6
simu kidogo its easy, download application inaitwa [HASHTAG]#dramania[/HASHTAG] then zinakujaa movie zote. Make sure unaandika 'dramania' na hii alama '#'Nami natumia simu sijui nitadownload vipi
Mkuu EMPTY ile link ya uzi wako wa lists za Korean Drama iko poa maana ina links za kutosha, tatizo nimedownload moja inaitwa The Jingbirok A Memoir of Imjin War haina English Subtitles kaka, yaani nimekuja kugundua baada ya ku download episodes karibia 51Hiyo hapo mkuu!
http://mobi24.net/apks/Dramania.apk
Mkuu EMPTY ile link ya uzi wako wa lists za Korean Drama iko poa maana ina links za kutosha, tatizo nimedownload moja inaitwa The Jingbirok A Memoir of Imjin War haina English Subtitles kaka, yaani nimekuja kugundua baada ya ku download episodes karibia 51
Dah,
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Lakini ni nzuri jamani pamoja na ufirauri wake.We Nifah ile muvi yako ile khaa[emoji85] [emoji85] af haina kingine cha maana zaidi ya ule ufirauni
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ina uzuri gani aisee au mimi nimeanzia njiani ujue hata sijaielewa nimeshtukia imeisha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Lakini ni nzuri jamani pamoja na ufirauri wake.
Wapi johnsonmgaya alete mrejesho wake?
Ni movie ile nadhani,I told ya sio ndefu thou.[emoji23] [emoji23] [emoji23] ina uzuri gani aisee au mimi nimeanzia njiani ujue hata sijaielewa nimeshtukia imeisha
My wii lini nifate movie jamani maana naona Nifah hataki kunipa zake...[emoji85] [emoji124][emoji23] [emoji23] [emoji23] ina uzuri gani aisee au mimi nimeanzia njiani ujue hata sijaielewa nimeshtukia imeisha
Yani vitu vipya vimekuwa adimu sana.Hahahaha Nifah umetisha...12hrs! So far sina kitu mpya na ile uliyoniambia bado sijapata saa hii nafikiria nirudie bad guy...karibu
Hahahaha kiporo wiki nzima umenikumbusha mbali sana, hapo naona nature call ndio ilikuwa inakunyanyua kny kochi na wakati wa kulala. Huyu dada aliyeigiza spy myung-wol Han Ye- seul nilimuona tena kwenye birth of beuty alifanya vema sana. Unaangalia ipi sasa?Yani vitu vipya vimekuwa adimu sana.
Ngoja nikimaliza hizi nilizonazo nitaangalia hiyo bad guy.
Eeeeh,mimi nikianza hizi mambo huwa nakuwa zaidi ya mwehu!
Zamani nilikuwa nikipata series kali nakumbuka My Young Wol The Spy nilipika chakula cha wiki nzima nikaweka kwenye friji ni mwendo wa kupasha tu.
Hahahah 2014 hiyo.
Hahahaha na utakoma aiseee bora unipe tuJamani jamani uwiiiiiiii!Nitakufa na deni la HF [emoji86] [emoji24]
Hahahaaaaaaaa umejuaje?Tena nilikuwa najibana hata kunywa maji ili nisisumbuke kwenda toi kila mara.Hahahaha kiporo wiki nzima umenikumbusha mbali sana, hapo naona nature call ndio ilikuwa inakunyanyua kny kochi na wakati wa kulala. Huyu dada aliyeigiza spy myung-wol Han Ye- seul nilimuona tena kwenye birth of beuty alifanya vema sana. Unaangalia ipi sasa?
Kwakweli hakuna namna,itabidi nikupe tu...lolHahahaha na utakoma aiseee bora unipe tu
Hahaha hata maji tena! Ungeendelea hivyo drip ingekuhusu lol....sasa fated to love you unaionaje? Kwenye vicheko vya huyo mkaka tu ndio ilikuwa inaniudhi kdg, endelea kuenjoy ila ulale mapema.Hahahaaaaaaaa umejuaje?Tena nilikuwa najibana hata kunywa maji ili nisisumbuke kwenda toi kila mara.
Bado nipo na fated to love you,si ni wewe ulinipa pendekezo?
Nikimaliza hiyo nitacheki na nyingine nimeisahau kidogo ila nimepewa pendekezo kwenye thread hiihii...nitaitafuta.