Ni ya magauni? (Kwa mujibu wa Numbisa) au ya sutiMi nilishusha chache alafu sikuitazama siku nimesema niichungulie ah we asubuh ha tunnel ikahusika kumalizia kiporo
Ina vibe flaan hivi
Na unavyopenda ma kiss ukiona yanachelewa usinirudie mbio mbio kama mtani wako hahah
Ni ya magauni? (Kwa mujibu wa Numbisa) au ya suti
Mimi weekend hii nipo na Thirty nine baada ya kumaliza true beauty. Hebu nitajie drama za kunivunja mbavu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mmeiboresha weekend yangu. Awesome
Hmmh, mimi pekeyangu ndo nilishakubali kukamuliwa MB's, nimetoka kuimalia LAST yenye episode 16 (150Mb pre each), kwa bando la hawa wezi.Mi nilishusha chache alafu sikuitazama siku nimesema niichungulie ah we asubuh ha tunnel ikahusika kumalizia kiporo
Ina vibe flaan hivi
Shida ni nini? Ha tunnel inakupa shida gani?Hmmh, mimi pekeyangu ndo nilishakubali kukamuliwa MB's, nimetoka kuimalia LAST yenye episode 16 (150Mb pre each), kwa bando la hawa wezi.
Sijui kwanini kitonga kinanikataa.
Mimi weekend hii nipo na Thirty nine baada ya kumaliza true beauty. Hebu nitajie drama za kunivunja mbavu
Arang the magistrate niliishia njiani niliangalia episode moja kama mbili, nitajaribu kuirudia. I'm not a robot nimeiona....nimeingia soompi nimeona wanazengo wengi wameitaja Chief KimYa magauni
arang and the magistrate
Ya kawaida am not a robot
Kuna mmoja nilimvutia a poem a day. Nilishangaa mwanzo mwisho anacheka tu full burudani kwake
Arang the magistrate niliishia njiani niliangalia episode moja kama mbili, nitajaribu kuirudia. I'm not a robot nimeiona....nimeingia soompi nimeona wanazengo wengi wameitaja Chief Kim
[emoji16][emoji16][emoji16] ni kweli wana vituko Sana, kati ya hizo nimeiona bring it on ghost. Hi bye mama sikuwahi kujua kama ina mambo hayoArang niliipenda sababu ya mambo ya wafu napenda kuwaona wafu wa kikorea na vituko vyao. Mfano wa drama za wafu hi bye mama,arang and the magistrate,bring it on ghost etc
[emoji16][emoji16][emoji16] ni kweli wana vituko Sana, kati ya hizo nimeiona bring it on ghost. Hi bye mama sikuwahi kujua kama ina mambo hayo
Ngoja nitaiweka kwa watchlistTena hio ndo yenyewe main actress ndo mzimu.Na hii From Now On, Showtime
Hiyo drama ya Last ni bonge moja ya drama mwamba umeigunduaje?Hmmh, mimi pekeyangu ndo nilishakubali kukamuliwa MB's, nimetoka kuimalia LAST yenye episode 16 (150Mb pre each), kwa bando la hawa wezi.
Sijui kwanini kitonga kinanikataa.
Kwamba mtandaoni haipo?Hiyo drama ya Last ni bonge moja ya drama mwamba umeigunduaje?
Sio kwamba haipo mtandaoni bali Asimilia kubwa hawaijui ipo underrated Sana na wala haina promo huwezi kukuta watu wanaizungumzia mpaka uwe mtu wakubahatisha ndio utaipata hata ukiandika google best 20 korean drama huwezi kuikuta ila ukibahatika kuiyona ndio utashangaa kwanini isiwepo kwenye hata 10 best korean drama ni drama ambayo ina story Kali na yenye akili na actions nzuri.Kwamba mtandaoni haipo?
Kwamba mtandaoni haipo?
Ni ya magauni? (Kwa mujibu wa Numbisa) au ya suti
[emoji16][emoji16][emoji16] namshangaa, watu wanaijua drama kabla hata wachezaji wa hiyo drama hawajapatikanaUmemsahau inno kila drama anayoangalia anahisi yeye ndo wa kwanza kuigundua na kuiangalia. Kasahau watu wanapata habari kabla hata haijashutiwa na kuisubiria kwa hamu pindi tu inapoachiwa kideoni
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Magauni mwenzangu
Ile chooooonaaaa[emoji1787][emoji23]