Kwenye hizo, migahawa, bar, cafe sema inaonekana watu wanaofanya hizo kazi wanadharaulika
Zicheki hizi
1. The last inahusiana na jamaa mmoja aliyekuwa muhasibu anasingiziwa ameiba hela za organization inapelekea jamaa kukimbia akitafutwa na mapolisi pamoja na matajiri walioweka mpunga hapo anajikuta anaanguka kiuchumi imagine ulikuwa unaishi maisha ya kifahari gafla unajikuta unaishi maisha ambayo ujawahi kuyaota wala kuyaishi .Humo ndani kuna mkono pamoja na matumizi ya akili ni bonge Moja la drama
2.innocent defendant - Hii ni Kali kuliko zote yaani kwangu ndio drama yangu Bora kuliko zote nilizowahi kuangalia ipo kama Prison break lakini ina story tofauti na Prison break ipo very unique na inamatukio ambayo hayataniriki kila episode inapoisha inakupa hamsa yakucheki next episode nayo ina ngumi pamoja na matumizi ya akili kwenye mikakati ni aina ya drama ambayo adui pia kapewa nguvu kubwa na mwandishi sawa na sterling tofauti na movie nyingi zilivyo ndio maana imeleta msisimuko
3.k2
4.whisper
talnam twende tukampigie oppa
Picha haihusiani na habariKim Seonho Leads Outstanding Actor at Seoul International Drama Awards 2022
Kim Seonho has entered into the list of Individual Awards candidates for Seoul Intermational Drama Awards.korean-binge.com
View attachment 2312240
Mb zake zilivyo nyingi
Mkuu nope korean drama Kali nicheki weekend maana zangu nimeshazimalizaHahahaa umenikumbusha mbali sana, Defendant hii drama ilikuwa inanifanya nichelewe kuamka kwenda kwenye mihangaiko kipindi naifuatila. Naam ni drama nzuri sana, iko poa kabisa.
Tofauti na userious wake humo ndani kuna raia wana vituko. Oh Dae Hwan, Jo Jae Ryong, Jo Jae Yun na Yun Yong Hyeon hizi njemba zilikuwa zinaukosha moyo wangu ipasavyo. Oh Dae Hwan jamaa alikuwa na ujinga ujinga sana.
Hii drama ni burudani sana na inafundisha sana humo ndani kuna funzo kubwa mno hasa kwenye upendo katika koo zetu, nilipenda sana vile Kang Sung Min alivyo kuwa akimpenda anko wake Shin Rin Ah.
Hahahaa mwamba umenikumbusha mbali sana.
Yes nkiri wako moto.. quality nzuri, mb chache na rahisi kupakua. Warudi tu upesi jamani mimi leo nimejikaza nimepakua kimoi sijui ubora wake utakuwajeAlafu hata ukishusha 480p ubora haufikii wa nkiri sometimes
Mie dramanice ilikua ndo kwangu ila siwez tizama drama humo tena
Sasa nilowatambulisha nkiri jana simu tu eti mbona haipo hewani hahahah
Mwenye ilibid niifunge na ha tunnel yenyew pozi lilikata
Asubuh bdo hiyoooo tuendelee na side business ya kudownload movie hata hatujui tutatizama lin
Fighting[emoji1421]
Alafu hata ukishusha 480p ubora haufikii wa nkiri sometimes
Mie dramanice ilikua ndo kwangu ila siwez tizama drama humo tena
Sasa nilowatambulisha nkiri jana simu tu eti mbona haipo hewani hahahah
Mwenye ilibid niifunge na ha tunnel yenyew pozi lilikata
Asubuh bdo hiyoooo tuendelee na side business ya kudownload movie hata hatujui tutatizama lin
Fighting[emoji1421]
[emoji16][emoji16][emoji16] mna raha wenye mna sehemu ya kupakulia mimi sina pa kuweka napakua naangalia na kufuta[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kamekua ka ugonjwa sasa mtu unadownload tu hujui utaangalia lini
[emoji16][emoji16][emoji16] mna raha wenye mna sehemu ya kupakulia mimi sina pa kuweka napakua naangalia na kufuta
Gb ngapi unayoKawaida tu nilipata memory card kubwa imekua msaada sana
Gb ngapi unayo
Daah unakula bata tu, wewe hata siku mseleleko ukiisha (God forbid) hutapatwa na sonona ya ghafla64gb tu
Mkuu nope korean drama Kali nicheki weekend maana zangu nimeshazimaliza
Daah unakula bata tu, wewe hata siku mseleleko ukiisha (God forbid) hutapatwa na sonona ya ghafla
Asante mkuu1. Doctor Lawyer
2. Insider
3. Bulgasal Immortal Souls
4. The Gangster, The Cop, The Devil
5. Carter, hii bado haijatoka, ila inatoka kesho kutwa yaani Agosti 5, 2022. Ni bonge la dude mi mwenyewe nasubir
Kwa wakati huu anza na hizo 4, hizo kazi zote ziko poa sana. Zicheki kisha utanipa mrejesho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kamekua ka ugonjwa sasa mtu unadownload tu hujui utaangalia lini
[emoji16][emoji16][emoji16] mna raha wenye mna sehemu ya kupakulia mimi sina pa kuweka napakua naangalia na kufuta
Huwezi amini binadamu haturidhiki,hata muda huu mseleleko ukikata tu napatwa na sonona utadhani sina akiba ya kutosha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Asante mkuu