Kabisa ile Nov vifurushi vimepanda na ha tunnel siijui aah nlikua nafaunga safar kweny ofis za wenyew kupata wi-fi hahah na stock ilikuwepo
Ni maradh haya
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ni kweli lakini una afadhaliHuwezi amini binadamu haturidhiki,hata muda huu mseleleko ukikata tu napatwa na sonona utadhani sina akiba ya kutosha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daah nawaonea wivu[emoji16][emoji1787][emoji1787] kuna kipindi ndo ilikua hivyo roho ikawa inaniuma najisemea nikikosa hela si naweza uza hiz hahah
Sasa hivi nina mashine za kutosha hatarii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mimi ha tunnel nyumbani kwangu inazingua sasa hivi kwa hiyo nikitaka kudownload ile seriously natoka naenda natafuta sehemu ambayo pana spidi kubwa. Leo nimefika kwenye nyumba ya mtu nikakaa kibarazani (haishi mtu lakini bado inajengwa) watu wanapita wanadhani namsubiria mtu kumbe niko busy na kimoi tv[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nikitaka kupakua tena natafuta kijiwe kingine maana nikienda palepale si nitashikwa uchawi mimi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila spidi ya pale balaaKabisa ile Nov vifurushi vimepanda na ha tunnel siijui aah nlikua nafaunga safar kweny ofis za wenyew kupata wi-fi hahah na stock ilikuwepo
Ni maradh haya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mimi ha tunnel nyumbani kwangu inazingua sasa hivi kwa hiyo nikitaka kudownload ile seriously natoka naenda natafuta sehemu ambayo pana spidi kubwa. Leo nimefika kwenye nyumba ya mtu nikakaa kibarazani (haishi mtu lakini bado inajengwa) watu wanapita wanadhani namsubiria mtu kumbe niko busy na kimoi tv[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nikitaka kupakua tena natafuta kijiwe kingine maana nikienda palepale si nitashikwa uchawi mimi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila spidi ya pale balaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeona eeh?[emoji23][emoji1787][emoji1787] uambiwe unafukia dawa nyumba isiishe shauri yako hahah
Yani kwakweli ni ni mateso ya faraja
Saiv nataman kijiwe kinachopiga nyimbo za kikorea hahaha, mziki wa kupeleka mbio mapigo ya moyo
Kwakweli ost na miziki ya wakorea zaman mizuri sana
Eeh yani kila nikijaribu napata shida.Shida ni nini? Ha tunnel inakupa shida gani?
Nyingine ni KINGDOM.Arang niliipenda sababu ya mambo ya wafu napenda kuwaona wafu wa kikorea na vituko vyao. Mfano wa drama za wafu hi bye mama,arang and the magistrate,bring it on ghost etc
Kuna mtu alileta recommendations humu nikaruka nayo.Hiyo drama ya Last ni bonge moja ya drama mwamba umeigunduaje?
Mang'akaumitha chonaaaaa[emoji2788][emoji144]Magauni mwenzangu
Ile chooooonaaaa[emoji1787][emoji23]
Hii ina episode ngapiNyingine ni KINGDOM.
Inagoma kuconnect?Eeh yani kila nikijaribu napata shida.
Mmelewa kitonga nyinyi[emoji23], Mb za kununua ili uanze kuishusha drama aisee ni lazima upite kila kona kukiridhisha kama yaliyomo yamo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kamekua ka ugonjwa sasa mtu unadownload tu hujui utaangalia lini
Mtandao gani wa simu unasupport hicho kitonga cha tunnel?Kabisa ile Nov vifurushi vimepanda na ha tunnel siijui aah nlikua nafaunga safar kweny ofis za wenyew kupata wi-fi hahah na stock ilikuwepo
Ni maradh haya
Zipo 16 tu na ina story nzuri sana, ukipata muda jaribu kuifatilia.Hii ina episode ngapi
TtclMtandao gani wa simu unasupport hicho kitonga cha tunnel?
(Najua imeongelewa sana ila ningependa kupata muongozo kama hamtojali)
Poa ngoja niiweke kwa watchlistZipo 16 tu na ina story nzuri sana, ukipata muda jaribu kuifatilia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeona eeh?
Kiukweli muziki wa kikorea sina mzuka nao kiviilee. Raha ya wimbo uwe unaweza kufuatisha pale unapoimba, sasa kikorea unafuatishaje? Unaambulia maneno machache kama saranghae, bogoshipo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]