Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

😂😂😂😂😂sana tu. Nilivyo mkurupukaji mb za kununua ningepata hasara maana kuna saa navuta nisichokielewa nikijipa moyo itakua nzuri
Mmelewa kitonga nyinyi[emoji23], Mb za kununua ili uanze kuishusha drama aisee ni lazima upite kila kona kukiridhisha kama yaliyomo yamo.
 
Skendo ni ya miaka mingi hiyo alishapigwa Ban ya kuonekana kwenye zile tv zote Korea.

Ila suala lilishaisha ndio maana yupo mzigoni sasa kama kawaida
 
Ukitoka kutumia bando la kawaida ukaja kwenye mseleleko kama sio mvumilivu hautawezana na mseleleko hivyo wengi wanakua na mhaho wa muda yakiwashinda wanarudi kwenye bando
Kuna mwana kapandisha uzi huko anaeleza kwa kujitapa kuwa hanunui tena bando kapata kitonga cha HA TUNNEL, nina wasiwasi hiki kitonga chetu hakichukui round kitapigwa PIN.

Sijui kwanini watu huwa hawawezi kustay low.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…