Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚drama nzuri sana. Safari ya jeju ilipendeza hasa actor wako alivyoipania na pamba zake kali kumbe safari nzima hamu yake ni kula tambi tu
Yeah ile nayo niliipenda...na ile salamu na rafiki yake nilijikuta naikariri halafu niko peke yangu naitamka[emoji16][emoji16][emoji16] naishia kujicheka hivi ndio nishakuwa zuzu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]drama nzuri sana. Safari ya jeju ilipendeza hasa actor wako alivyoipania na pamba zake kali kumbe safari nzima hamu yake ni kula tambi tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] alikomaa hatari, halafu writers waache kumchulia babe wangu... kwenye secretary Kim alikuwa divorced na huku tena divorced mwishowe pepo la divorce litaanza kumfuatilia[emoji16][emoji16]
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚nae anazikubali tu hizo nafasi na anaziwezea vizuri
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] alikomaa hatari, halafu writers waache kumchulia babe wangu... kwenye secretary Kim alikuwa divorced na huku tena divorced mwishowe pepo la divorce litaanza kumfuatilia[emoji16][emoji16]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]drama nzuri sana. Safari ya jeju ilipendeza hasa actor wako alivyoipania na pamba zake kali kumbe safari nzima hamu yake ni kula tambi tu

Alafu ile nyimbo wameipiga pale sio afrobeats... kavunja kabati la vacation boss wakati wengine wampegilia suti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ