Daah, kuna nini tena
Tutastaafu tu kwani shngapiMdogo mdogo files zimeanza kupigwa pini
Vijana wa Facebook wangese sana mtu anaenda kutambisha hadi slow dns ya 8.8.8.8 nayo ikapigwa pini ilitusogeza sana YouTube.Mdogo mdogo files zimeanza kupigwa pini
Vijana wa Facebook wangese sana mtu anaenda kutambisha hadi slow dns ya 8.8.8.8 nayo ikapigwa pini ilitusogeza sana YouTube.
Wengine wakatengeneza hadi channels zao halafu wanajikuta IT kumbe waburn cd na kuingiza seasons[emoji23]
Tazama Model Family na emergency declarationNamalizia alchemy of souls drama.
Baadae nitaziangalia
- Awaken drama
- Narco saints drama
Emergency declaration bila ya shaka ni movieTazama Model Family na emergency declaration
Tazama Model Family na emergency declaration
Nikitaka nisome comments zote mpaka chini kisha nitoe recommendation ya NARCO SAINTS ila kabl a sijamaliza nakutana na hii comment yako, aiseeh kwenye Narco Saint wakorea wametuliza akili.Namalizia alchemy of souls drama.
Baadae nitaziangalia
- Awaken drama
- Narco saints drama
Nimeiongeza the good detective drama katika list.
hii ni season 2
Naserereka na internet ya bure ofisini
View attachment 2365860
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nyieeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka mwenyewe ila nimeona niwashirikishe ndani ya family drama be my dream family kuna jamaa kaigiza ka director wa drama kaoa mke ambaye pia muigizaji sasa katika harakati akajikuta mkewe yupo ndani ya drama yake halafu kuna kiss scene. actor aliuliza kabisa kama director hatamaindi kwenye hizo scene director akajibu yeye yupo professional zaidi. Siku ya scene yenyewe ile wameanza kukumbatiana director akaanza kutetemeka kisiri siri huku kaikamatia kwa nguvu penseli,ile wamesogeleana waanze kiss director akaanza kutetemeka zaidi uvumilivu ukamshinda akapiga kelele cut huku akiwalaumu wahusika wamekosea bila kuwaambia walipokosea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Season 1 ulibahatika kuiangalia?Nilikua naipotezea ila ngoja tu niivute kama akiba.
Sijui tukuchongee ukose kamseleleko๐๐๐๐
Nyieeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka mwenyewe ila nimeona niwashirikishe ndani ya family drama be my dream family kuna jamaa kaigiza ka director wa drama kaoa mke ambaye pia muigizaji sasa katika harakati akajikuta mkewe yupo ndani ya drama yake halafu kuna kiss scene. actor aliuliza kabisa kama director hatamaindi kwenye hizo scene director akajibu yeye yupo professional zaidi. Siku ya scene yenyewe ile wameanza kukumbatiana director akaanza kutetemeka kisiri siri huku kaikamatia kwa nguvu penseli,ile wamesogeleana waanze kiss director akaanza kutetemeka zaidi uvumilivu ukamshinda akapiga kelele cut huku akiwalaumu wahusika wamekosea bila kuwaambia walipokosea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji1787] natamani nione ila usikute ni episode ya 44 hukoo
Em nijituliee
Season 1 ulibahatika kuiangalia?
jina la taasisi ninayofanya kazi utaijuaje?
Kkkkkkk!!!
Kamselelekoooo
ya 116 huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]