Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Hujanielewa kabisa,kwa namna nnavyowapenda Wakorea sijawahi hata kuponda kazi zao kuanzia drama hadi kpop.

Hilo jiwe nimewalenga watu fulani humu ndani wanajikuta wajuaji kuponda drama nzuri kabisa kisa tastes zao za kiboya
Hapo unakosea hakuna taste za kiboya ni vile tunatofautiana. Drama inaweza kupendwa na wengi ila wewe usiipende. Tuvumiliane tu mtu akitoa maoni yake cha muhimu kutumia lugha ya staha. Halafu ukisikia sifa nyingi za drama kisha ukaenda kuitizama lazima utaiona ya kawaida maana unaenda kuiangalia ukiwa na matarajio makubwa, ni rahisi kuwa disappointed hata kwa kipengele kidogo sana. Nimesikia huko juu eti mtu anakereka jina Seoul kwenye drama [emoji1787][emoji1787][emoji1787] unaweza kuona ni kwa kiasi gani mtu yuko sensitive kwa vitu vidogo kabisa.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umenikumbusha kuna mmoja huyo alikuwa ananiambia aliangalia muvi inaitwa Mr Robot nikajua ni I'm not a robot...nikamwambia nipe stori yake ananipa stori tofauti kabisa. Nikamuonyesha picha ya Seung ho nikamuuliza ameigiza huyu? Akasema ehee ni huyohuyo basi nikabaki nimechanganiyikiwa maana nawajua watu wasioangalia kdrama wanapata wakati mgumu kuwatofautisha hawa actors. Nikajua huyu atakuwa aliangalia cd zile za kwwnye vibanda umiza[emoji16]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app

Hahaha
Yani wanatumia majina tofauti makusudi
Lakin sasa huyu mdogo wangu nikimpa anakwambia mumewe ikimnogea anaenda library sasa kuulizia zenye tafsir hataki kujichosha[emoji1787][emoji23]

Ila mi nakasirika[emoji16]

Ingawa nimepata waZo sijui nianze kuzitafsir[emoji1787][emoji1787]

Maana hali ngumu [emoji848]
 
Hapo unakosea hakuna taste za kiboya ni vile tunatofautiana. Drama inaweza kupendwa na wengi ila wewe usiipende. Tuvumiliane tu mtu akitoa maoni yake cha muhimu kutumia lugha ya staha. Halafu ukisikia sifa nyingi za drama kisha ukaenda kuitizama lazima utaiona ya kawaida maana unaenda kuiangalia ukiwa na matarajio makubwa, ni rahisi kuwa disappointed hata kwa kipengele kidogo sana. Nimesikia huko juu eti mtu anakereka jina Seoul kwenye drama [emoji1787][emoji1787][emoji1787] unaweza kuona ni kwa kiasi gani mtu yuko sensitive kwa vitu vidogo kabisa.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Nahisi ni huyo ndio niliyemlenga,yaani eti mtu anaanzaje kuponda comedy kitu ambacho ni kawaida kwenye Asian Dramas,kama anataka drama za akili aelekeze majeshi kwa za Kimarekani ndio hakuna comedy hizo anazozichukia.

Kuna vitu kwenye dramas havikwepeki mtu anaviponda then anajiita mdau wa K-Dramas
 
Hahaha
Yani wanatumia majina tofauti makusudi
Lakin sasa huyu mdogo wangu nikimpa anakwambia mumewe ikimnogea anaenda library sasa kuulizia zenye tafsir hataki kujichosha[emoji1787][emoji23]

Ila mi nakasirika[emoji16]

Ingawa nimepata waZo sijui nianze kuzitafsir[emoji1787][emoji1787]

Maana hali ngumu [emoji848]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama una sauti inaamsha amsha fanya tu riziki popote

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Nahisi ni huyo ndio niliyemlenga,yaani eti mtu anaanzaje kuponda comedy kitu ambacho ni kawaida kwenye Asian Dramas,kama anataka drama za akili aelekeze majeshi kwa za Kimarekani ndio hakuna comedy hizo anazozichukia.

Kuna vitu kwenye dramas havikwepeki mtu anaviponda then anajiita mdau wa K-Dramas
Hizo comedy ndio zimenifanya nipende kdrama. Yaani niangalie episode 16 nisicheke hata mara moja? Hapana aisee hiyo drama inipitie mbali [emoji1787][emoji1787] na ninawasihi wakorea hii ladha wasije kuthubutu kuiacha watakuwa wameharibu...anayeona anakereka aondoke yeye

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Naomba link tafadhari
Sijui namna ya kuweka ila Ingia www.dramacool.com kisha bofya search button andika kibongo chochote kikali unachokitaka.
IMG_20221219_173505.jpg


Ila hiyo Dee Jo Young ndefu sana ina fika mpk 100 kama sikosei Jang Yeong Sill ni fupi kama sikosei ni episode 12 mm nipo ya 2 ila ni ya Kitaalamu haina actions na mizuka mingi.Ukitaka historical kali zenye kila kitu Cheki;

1.Emperor of the Sea
2.Bichumo
3.Jumong
4.Land of winds (kingdom of the winds)
5.King Gwangaeto

Hizo unaweza kukesha usiku mzima kama mwehu uko bize unawatch series..
 
Sijui namna ya kuweka ila Ingia www.dramacool.com kisha bofya search button andika kibongo chochote kikali unachokitaka.View attachment 2451922

Ila hiyo Dee Jo Young ndefu sana ina fika mpk 100 kama sikosei Jang Yeong Sill ni fupi kama sikosei ni episode 12 mm nipo ya 2 ila ni ya Kitaalamu haina actions na mizuka mingi.Ukitaka historical kali zenye kila kitu Cheki;

1.Emperor of the Sea
2.Bichumo
3.Jumong
4.Land of winds (kingdom of the winds)
5.King Gwangaeto

Hizo unaweza kukesha usiku mzima kama mwehu uko bize unawatch series..
Nashukuru Sana, hizo na 1 Hadi 5 zote nimeziona, hapa nataka king geunchogo, king's face season 2,pia Kuna yule mtoto wa "dong yi" sijajua series yake inaitwaje na nyingine. Ngoja nianze na hiyo Jang Yong Sill
 
Hi
Sijui namna ya kuweka ila Ingia www.dramacool.com kisha bofya search button andika kibongo chochote kikali unachokitaka.View attachment 2451922

Ila hiyo Dee Jo Young ndefu sana ina fika mpk 100 kama sikosei Jang Yeong Sill ni fupi kama sikosei ni episode 12 mm nipo ya 2 ila ni ya Kitaalamu haina actions na mizuka mingi.Ukitaka historical kali zenye kila kitu Cheki;

1.Emperor of the Sea
2.Bichumo
3.Jumong
4.Land of winds (kingdom of the winds)
5.King Gwangaeto

Hizo unaweza kukesha usiku mzima kama mwehu uko bize unawatch series..
Hii not found kiongozi
 
Nahisi ni huyo ndio niliyemlenga,yaani eti mtu anaanzaje kuponda comedy kitu ambacho ni kawaida kwenye Asian Dramas,kama anataka drama za akili aelekeze majeshi kwa za Kimarekani ndio hakuna comedy hizo anazozichukia.

Kuna vitu kwenye dramas havikwepeki mtu anaviponda then anajiita mdau wa K-Dramas
Ndo maana holliwood ndo namba 1 duniani , ma sterling wapo serious

Hapa nashuka na royal secret agent, kuna scenes jamaa wamezingua [emoji3] sterling hayupo serious kabisa

Kuna yule mwamba wa "tell me what you saw" hakua na masihara

Six flying dragons watu hawana huruma huruma
Mimi masterling wenye huruma huruma hasa kwa maadui wananiboa
 
Nashukuru Sana, hizo na 1 Hadi 5 zote nimeziona, hapa nataka king geunchogo, king's face season 2,pia Kuna yule mtoto wa "dong yi" sijajua series yake inaitwaje na nyingine. Ngoja nianze na hiyo Jang Yong Sill
Mimi za KiBaikije sielewi kabisa na sijawahi kuimaliza series inayohusu Baikije hata moja nilijaribu ile star anaitwa Yeogu(Yogusu) nikaishia kati , mimi nakubali zaidi stori ikihusu Gugreyo.
 
😂😂😂😂😂😂Lawama zooteee namdondoshea innocent dependant a.k.a hyziech na masuala yake ya taste buddies
Tatizo wakosoaji wanatumia lugha kali sana, tukubaliane tu series ikikukataa basi usishambulie watu , life lisogee sasa mtu uanze wakorea comedy nyingi, wakati baddhi ndo tunachokitafuta apo kwa kina Mo palmo , yule mzee wake dong yi na kijana wake😁😁😁
 
Tatizo wakosoaji wanatumia lugha kali sana, tukubaliane tu series ikikukataa basi usishambulie watu , life lisogee sasa mtu uanze wakorea comedy nyingi, wakati baddhi ndo tunachokitafuta apo kwa kina Mo palmo , yule mzee wake dong yi na kijana wake😁😁😁
Kuna baadhi ya watu Wanapenda kitu kimoja tu kwenye movies, Kama action ni action tu, au Kama romance ni romance tu. Sasa hao wakikosa wanachokipenda wanaona series/ movie mbovu. Ila Kama unapenda vitu multiple Kila movie kwako Tamu, ukikosa romance unakutana na comedy, ukikosa comedy unakutana na action, ukikosa fiction unakutana na historical drama
 
Back
Top Bottom