Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Hapo unakosea hakuna taste za kiboya ni vile tunatofautiana. Drama inaweza kupendwa na wengi ila wewe usiipende. Tuvumiliane tu mtu akitoa maoni yake cha muhimu kutumia lugha ya staha. Halafu ukisikia sifa nyingi za drama kisha ukaenda kuitizama lazima utaiona ya kawaida maana unaenda kuiangalia ukiwa na matarajio makubwa, ni rahisi kuwa disappointed hata kwa kipengele kidogo sana. Nimesikia huko juu eti mtu anakereka jina Seoul kwenye drama [emoji1787][emoji1787][emoji1787] unaweza kuona ni kwa kiasi gani mtu yuko sensitive kwa vitu vidogo kabisa.Hujanielewa kabisa,kwa namna nnavyowapenda Wakorea sijawahi hata kuponda kazi zao kuanzia drama hadi kpop.
Hilo jiwe nimewalenga watu fulani humu ndani wanajikuta wajuaji kuponda drama nzuri kabisa kisa tastes zao za kiboya
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app