Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

huwezi amini kilichomtokea lee seung gi pamoja na umaarufu wake wote . . lee seung gi alikua chini ya kampuni ya HOOK ent. inayosimamia kazi zake za kisanii, licha ya kuwa mwigizaji alikua ni mwanamuziki pia, lakini cha ajabu ndani ya miaka 18 ya kutoa nyimbo (jumla nyimbo 137) management hiyo haijamlipa hata mia, narudia hata ile mia hajapewa kwa miaka 18 wakawa wanamdanganya haingizi pesa anatia tu hasara . . kwa miaka yote hiyo actor huyo wa vagabond na my girlfriend is gumiho/gu family book amekua akiamini hatengenezi faida kwenye mziki sababu ndio kitu alikua naambiwa na HOOK tangu mdogo ila mwaka huu ndio akaja akastuka kwa mara ya kwanza ndio kudai haki yake 🙌 media ijulikanayo kama dispatch ya korea ikafanya uchunguzi ikagundua lee seung gi ameingiza jumla ya usd 7.1 million ambayo ukileta kwenye fedha za kibongo inakua ni billion 16.5 kwenye mziki pekee 😳 . . polisi nao wakaingilia kati, management yake ikaona aibu na sasa lee amelipwa billion 8.8 (nishaziweka kwenye fedha za tz) lakini lee ametoa zote kwenye vituo vya wahitaji (charity) na amewashtaki managament yake kwa udhulumaji na udanganyifu wa fedha waliofanya na amevunja mkataba

Source insta
 
huwezi amini kilichomtokea lee seung gi pamoja na umaarufu wake wote . . lee seung gi alikua chini ya kampuni ya HOOK ent. inayosimamia kazi zake za kisanii, licha ya kuwa mwigizaji alikua ni mwanamuziki pia, lakini cha ajabu ndani ya miaka 18 ya kutoa nyimbo (jumla nyimbo 137) management hiyo haijamlipa hata mia, narudia hata ile mia hajapewa kwa miaka 18 wakawa wanamdanganya haingizi pesa anatia tu hasara . . kwa miaka yote hiyo actor huyo wa vagabond na my girlfriend is gumiho/gu family book amekua akiamini hatengenezi faida kwenye mziki sababu ndio kitu alikua naambiwa na HOOK tangu mdogo ila mwaka huu ndio akaja akastuka kwa mara ya kwanza ndio kudai haki yake [emoji119] media ijulikanayo kama dispatch ya korea ikafanya uchunguzi ikagundua lee seung gi ameingiza jumla ya usd 7.1 million ambayo ukileta kwenye fedha za kibongo inakua ni billion 16.5 kwenye mziki pekee [emoji15] . . polisi nao wakaingilia kati, management yake ikaona aibu na sasa lee amelipwa billion 8.8 (nishaziweka kwenye fedha za tz) lakini lee ametoa zote kwenye vituo vya wahitaji (charity) na amewashtaki managament yake kwa udhulumaji na udanganyifu wa fedha waliofanya na amevunja mkataba

Source insta
Dramafire[emoji16]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mi Shili alifanya kazi kubwa sana mule ndani, anakuua huku anacheka.

Kuna zile ngoma zinapigwa Mishil akiwa stressed ( ngoma kama glass zinagongwa hivi), watu wa music walifanya poa sana nimeshangaika kuipata hiyo beat ila imeshindikana.
 

Attachments

To all kdrama famiy
uwezo wa kutupa mualiko watu wote huna, ila uwezo wa kuchagua japo mmoja wao sidhani kama unakushinda.
kwa mara nyengine umeninyima mualiko wa krisimasi.
pia umeshindwa kunitumia hata boksi la sato jioni ile ya tarehe 26 (nilitegemea utajisahihisha)
kumbe nilikuwa najipumbaza

wachoyo wa pilau wana mji wao
wachoyo na khulka zao
wachoyo na group lao

watakunyima drama kwa kisingizio hawajui kuandika summary
basi hata sikukuu iwashinde au nayo yahitaji summary?
👨‍🎤👨‍🎤👨‍🎤👨‍🎤
 
Back
Top Bottom