Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Taste yako ni yakipekee jaribu hiyo life on mars naona ipo serious sana
 
Guyz tumien telegram kudonwloadia achanen na izi link hasa kw ndg zng wa vitonga, telegram unapata movie quality na Ata km mtandao hauko poa movi haicancel inaendelea ilipoishia
Bila shaka hii ni family drama,ushawahi angali my father is stranger ni nzuri au?

Yan changamoto ya kitonga mimi nishikilie simu ikizima ule mwanga na yenye inastop

Au ni setting, ni kazi ukiwa na mambo mengine[emoji

Yan changamoto ya kitonga mimi nishikilie simu ikizima ule mwanga na yenye inastop

Au ni setting, ni kazi ukiwa na mambo mengine[emoji41]
 

Attachments

  • Screenshot_20230123-005810_Telegram.jpg
    257 KB · Views: 20
Mkuu kuna saa tatizo sio mb tatizo ni muda wa kusubiria drama ishuke yote. Mb 200 siku hizi naona uvivu sana kuzisubiria naishia mb 190. nkiri kule kuna drama ina hadi mb 60,
Guyz tumien telegram kudonwloadia achanen na izi link hasa kw ndg zng wa vitonga, telegram unapata movie quality na Ata km mtandao hauko poa movi haicancel inaendelea ilipoishia
 
Guyz tumien telegram kudonwloadia achanen na izi link hasa kw ndg zng wa vitonga, telegram unapata movie quality na Ata km mtandao hauko poa movi haicancel inaendelea ilipoishia
Kwenye kitonga telegram ndio haifai kabisa network ikikata kidogo tu na yenyewe inastop hati uclick tena
 
Mkuu kuna saa tatizo sio mb tatizo ni muda wa kusubiria drama ishuke yote. Mb 200 siku hizi naona uvivu sana kuzisubiria naishia mb 190. nkiri kule kuna drama ina hadi mb 60,
Hapo chacha mimi siku hizi nimekuwa mvivu nikiona drama episode kuanzia 150 na kuendelea naachana nayo
 
Wakuu nimedownload Pachinko episodes sasa nimeangalia episode ya kwanza naona ipo slow siilewi hivi. Kwa walioiona vipi ni nzuri huko mbeleni au niitupe kwa dustbin
Hiyo drama ikikushinda achana nayo tu mimi nwenyewe niliona nyotanyota nikaikacha yaani ipo kama ile michezo ya Kibongo ya mchana ITV[emoji23][emoji23]
 
Mkuu kuna saa tatizo sio mb tatizo ni muda wa kusubiria drama ishuke yote. Mb 200 siku hizi naona uvivu sana kuzisubiria naishia mb 190. nkiri kule kuna drama ina hadi mb 60,
Enewei n sw lakn me kw episode 1 km quality yk ipo chn ya 200 MB siwez angalia ata iwe nzur vp zaid sn ntaitafuta yeny quality nzur naangalia.
Kwenye kitonga telegram ndio haifai kabisa network ikikata kidogo tu na yenyewe inastop hati uclick tena
Sijajua km n sim au vp lakn me telegram ndo kila kitu ata km movie ina 2 GB telegram chap kwa hrk
 
Kwenye kitonga telegram ndio haifai kabisa network ikikata kidogo tu na yenyewe inastop hati uclick tena
Kwa kitonga me nawez kushusha mzigo wa ep 16 kwa usk m1 200 MB+ pa episode telegram. Wireturn is something inahitaj tu baadh ya vitu kupg kaz me Hua na kiburi ata cha kudownload Episode HD 500MB+
 
Kwa kitonga me nawez kushusha mzigo wa ep 16 kwa usk m1 200 MB+ pa episode telegram. Wireturn is something inahitaj tu baadh ya vitu kupg kaz me Hua na kiburi ata cha kudownload Episode HD 500MB+
Kitonga cha Wiretun sijawahi kukikubali ile shughuli ya kucheza na kindege si ya kitoto labda uniambie kuna namna unafanya kuiset bila kutegemea kucheza na kindege
 
Za vijijini mpaka sasa nimesaka nyingi ila bado hakuna kama six flying dragons
1.Jumong ,hii iloonyeshwa ITV miaka ya nyuma ilivyoisha watu wakaomba iludiwe Capital Tv ikarudiwa na mwaka jana imerudiwa tena ITV .

Ni Koreaan drama pekee ambayo ukirudia unakuwa kama haujawahi kuiona na kila ukirudia lazima utagundua kitu kipya ambacho awali ulipita na kuona kawaida ..
 
Angalia the veil, my country na tell me what you saw ni 🔥🔥 hutojutia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…