Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Jana ulivyomponda Jimin kama ndio ulikuwa umeniroga [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jana nimechelewa kulala kisa kuangalia videos za Jimin huko insta. Hapa nilipo kichwani kwangu ni Jimin Jimin Jimin....hadi mababe zangu wengine wako pendingIla hao ndio mabingwa wa kutengeneza dawa za kukuza matako wao hawatumii then wanawaletea waafrika.
Uzuri wa mwanamke sura hayo ni extra ndio maana hakuna mashindano ya ulimbwende Duniani wanayoangalia makalio.
Hayo ni kivutio kwa watoto wa Farao[emoji23][emoji23]
Ila huwezi amini hizo umbo za mstimu nimetokea kuzielewa hadi nikipita mtaani nikiona wenye misambwanda naona kama ni kilema hicho[emoji23]