Prishaz
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 2,898
- 5,020
Iko vipi? Nafikiria niianze hiyo au empress kiNipo naangalia slave hunter sema cd inaskrachi aisee,,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iko vipi? Nafikiria niianze hiyo au empress kiNipo naangalia slave hunter sema cd inaskrachi aisee,,
Ninazo nyingi sana lkn jinsi ya kukupatia sasa..Hivi nani anazo series za kikorea kwenye external hard drive?, kama kuna mtu anazo aniambie hata kwa kununua ntanunua
Slave hunter ni nzuri sanaIko vipi? Nafikiria niianze hiyo au empress ki
Wewe upo api?, ili nijue napataje,, mie ntazifuata ulipoNinazo nyingi sana lkn jinsi ya kukupatia sasa..
Ukimaliza cheki na gumihoSeries nlizoziangalia so far ni:
Jumong, Wind of the sea, The great queen (Damdeok), A man called God, IRIS, Gu family book, Time slip Dr. Jin
now naangalia slave hunter
Ipo vizuri ee?,Ukimaliza cheki na gumiho
Mkuu yaelekea una series nyingi sana,, embu zitunze aisee ntakuja zichukua na mim![]()
Leo nimemaliza kuangalia tamthilia ya "Shine or go crazy"
wang so ambaye alikuwa mtoto wa mfalme wang gun ni prince wa goryeo(warithi wa goguryeo),ambaye amezaliwa na kuishi mpweke udogoni kwake kwa sababu ya watabiri kuwa ana kama laana (cursed fate).siku moja alikutana na princess wa mwisho katika taifa la Balhae (warithi wa goguryeo lililoanzishwa na dae jo young) alikuwa akiitwa shin yool (oh yeon soo) ambaye amezaliwa akiwa na asili ya kuling'arisha taifa jengine. NI stori nzuri na inavutia.
Ni PMMkuu yaelekea una series nyingi sana,, embu zitunze aisee ntakuja zichukua na mim
Kuna yule jamaa mwenye mwili Mkubwa, jamaa mkali ile mbaya!Hahahahahahaaaa garion anajifanya kuuza butcher kumbe yeye ndio jeon gi joon mkuu wa MILBON. Au kwa jina jengine wanamwita BONWON.
![]()
Fanya kutupia kwa watsap mkuu 0769016860!Mkuu ulinambia nikutafutie zile nyimbo je nitawezaje kukurushia au kuzipost katika forums
Unnie nakujaNi PM
Sema muhyool nae hafai, lakini kwa jamaa kachemka!ANAITWA KARUPAYI JAMAA NI BALAA DOL BOK NA MUHYOOL WOTE HAWAMUWEZI
Andika Private Message (PM) kwangumaana yake nini mkuu
Hapo muhyool na dojinwale wazee wa historical lipi pambano kali kati kati ya
damdeok vs sagal yeon in king gwaggaeto
damdeok vs murong xi
dae jo young vs li kaigu in dae joyoung
muhyool vs dojin in kingdom of the wind
![]()
![]()
![]()
![]()
NikwelNimemaliza kuangalia Bad guy ni drama nzuri sana ila ina mwisho mbovu kama Iris, so dissapointed at the end.
Mkuu nakuPM sasa hivi, na mimi nahitaji hizo movieAndika Private Message (PM) kwangu