super black
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 566
- 533
Mkuu nipe link ya hiiiYaani Hii Ost Ni Hatari..
Awards Za Mwakaa Huu Sijuh Yaani Maana Kazi Zote Ni kari, Kutakuwa Na Mpambano Wa Kukata Na Msumenoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nipe link ya hiiiYaani Hii Ost Ni Hatari..
Awards Za Mwakaa Huu Sijuh Yaani Maana Kazi Zote Ni kari, Kutakuwa Na Mpambano Wa Kukata Na Msumenoo
Ingia Dramafire.comMkuu nipe link ya hiii
Kwendaa unakumbuka first day nimehamia hapo mtaani kwenu ulivyojishaua? Unatishia kufa wakati kuzimia huwezi[emoji57]
Yah Nandomana Kuna Muda Huwa Namfananisha Na Alivyocheza Humu Sema Humu Ameongeza Kipimo...Aminas unakumbuka vituko vya bae Suzy kwny uncontrollable fond
Hahahahahaha!! Nilikuwa Sitaki Kuharibu Sheria yangu ya Kuanza Kujipendekeza kwa Boy,Ndomana Nikakutolea Nje Hila Aimaanisha Kuwa Sina Moyo Nawewe Pleez Khantwe Nielewee,HahahahahhaKwendaa unakumbuka first day nimehamia hapo mtaani kwenu ulivyojishaua? Unatishia kufa wakati kuzimia huwezi[emoji57]
Ngoja kwanza nikomae na yule mwanamaombi wa kule kazini anayenipotezea kama hanijui[emoji23]Hahahahahaha!! Nilikuwa Sitaki Kuharibu Sheria yangu ya Kuanza Kujipendekeza kwa Boy,Ndomana Nikakutolea Nje Hila Aimaanisha Kuwa Sina Moyo Nawewe Pleez Khantwe Nielewee,Hahahahahha
Hahahahahhahahha, Duuuhhh Yule Nae Nomaa,Pale restaurant Mwenzie Anamuita Kamkaushia Kimyaa Daahhh! Nilicheka PaleeNgoja kwanza nikomae na yule mwanamaombi wa kule kazini anayenipotezea kama hanijui[emoji23]
daebak inamaaana the weird one na bad guy kuanza tu kwa episode wao walishakuwa ni couples.....mhhhhhhhhh huyu muandishi amenifanya kwa mara ya kwanza niangalie drama haliyakuwa nishamjua bad guy and good guy.Mama Yake Anamuuliza''Is He Handsome?'' Anamjibu''Why Does That Even Matter? I have a Boyfriend, You Know"
Mama Yake Anamjibu''Hey,You've Only Seen Him Twice since the Blind Date,Will you marry Him The Next Time You see Him?''
Nilikipenda Sana Ichi Kipande Mpaka Pale Wanamchungulia Jong Suk Anavyoamia Laahh!!!
leo ni uzinduzi kwa kitaifa nchini korea baadae ndipo nahisi itaanza kupatikana mitandaoni.Mkuu damushin ulisema fortess inatoka leo km ishatoka tusaidie link
Sawa kiongozi cc twasubrleo ni uzinduzi kwa kitaifa nchini korea baadae ndipo nahisi itaanza kupatikana mitandaoni.
Yah Tayari Wanadate, Ila Bad guy Kaamua Kumkosa Weird, Hahahahahahah Kila Nikikumbuka Ile Scene Ya Kuachana Nacheka Kweli Yaani...daebak inamaaana the weird one na bad guy kuanza tu kwa episode wao walishakuwa ni couples.....mhhhhhhhhh huyu muandishi amenifanya kwa mara ya kwanza niangalie drama haliyakuwa nishamjua bad guy and good guy.
Tz mbongo Wewe unataka kuleta ubishi wa bure usiokuwa na kichwa wala miguu ... kwamba watu wengi unasikia wanaandika hivyo ukafikiri ndio official! .. siyo.
Quite often the "g" that you see is really pronounced more like a "k". The government's "official" system is quite a bad representation of the way Korean truly sounds but it is the one you will be seeing most often.
Suala la msingi is a letter &[HASHTAG]#4352[/HASHTAG]; ambayo ni G ila utasikia kama inatamkwa soft k.
how would i now if &[HASHTAG]#4352[/HASHTAG]; is used as k or g?
g or k
&[HASHTAG]#12593[/HASHTAG]; is normally more of a 'k' sound when it is at the beginning of a word and more of a 'g' in the middle of the word.
Be careful not to make too much of a 'k' sound though, because you might get confused with &[HASHTAG]#12619[/HASHTAG];, which is the soft 'k' sound. I hope I haven't confused you!
the letter &[HASHTAG]#12593[/HASHTAG]; G/K , how can i know when should i pronounce it G or K ? And does matter if i said kwangjang instead of gwangjang ?
In the word &[HASHTAG]#44032[/HASHTAG];&[HASHTAG]#49464[/HASHTAG];&[HASHTAG]#50836[/HASHTAG]; "go" , why do they pronounce the letter G (&[HASHTAG]#12593[/HASHTAG]😉 like a "k" while there is another K letter in hangul (&[HASHTAG]#12619[/HASHTAG]😉 ?? actually &[HASHTAG]#12593[/HASHTAG]; sounds a little different from the both g or k. easily u can think of &[HASHTAG]#12593[/HASHTAG]; as the middle of the g and k. but it sounds closer to k when it comes to the begining of the word like &[HASHTAG]#44305[/HASHTAG];&[HASHTAG]#51109[/HASHTAG];.
So still still bado nipo pale pale ... officially ni Gamsahabnida na wala siyo Kamsahamnida
Bado yupo sawa tu katk matamshi yaan neno "...mni..." waweza tamka "...mdi/mpi...". Iila kimaandishi huwa...ㅁ니..감사합니다 (Gamsahamnida)
Hivyo asante kwa kunikosoa kuwa ni "G" na si "K" ila na mie nimekuweka sawa hapo kidogo kuwa sio "..habnida" bali ni "..hamnida".
Mkuu herufi hii ㅂ ambayo ni sawa na b/p,ikiwa mwanzo ndiyo inatamwa kama "b" ila ikiwa mwisho hutamkwa kama "p".Bado yupo sawa tu katk matamshi yaan neno "...mni..." waweza tamka "...mdi/mpi...". Iila kimaandishi huwa...ㅁ니..
Mfano mwaengine neno seom 섬 huwa linatamkwa seop kama lipo katkati ya neno.
Nilivyoelewa mm hvyo. Naruhusu kunikosoa.
그럼
Hahahaha upo sawa kabisaMkuu herufi hii ㅂ ambayo ni sawa na b/p,ikiwa mwanzo ndiyo inatamwa kama "b" ila ikiwa mwisho hutamkwa kama "p".
Sasa hapa 합 hiyo ㅂ hapo chini inatambulika kama "p" na si "b" hivyo bora angeandika "gamsahapnida" maana ndiyo ilivyoandikwa japo sivyo inavyotakiwa kutamkwa.
Kama nimekosea niweke sawa mkuu lugha ya watu hii.