EMPTY
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 979
- 1,195
Hihihi! Tayari nini tena, Mkuu?Nikajua Tayari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hihihi! Tayari nini tena, Mkuu?Nikajua Tayari.
WamekabaHihihi! Tayari nini tena, Mkuu?
Ha h a ha! Yaani kirahisi rahisi tu wanikabe?Wamekaba
Hahahaha! Naangalia APA black knight nairudia MRA ya 3 hii episode ya 9..Ha h a ha! Yaani kirahisi rahisi tu wanikabe?
Sio bure ningejua JF tayari washani-snitch!
Ngoja nianze Kukusnitch.Ha h a ha! Yaani kirahisi rahisi tu wanikabe?
Sio bure ningejua JF tayari washani-snitch!
Kwenye Black Knight, ep niliyoipenda ni ile walipokuwa Slovenia tu.Hahahaha! Naangalia APA black knight nairudia MRA ya 3 hii episode ya 9..
Najua Ushaiacha!
Unaanzaje kuni-snitch kimfano? Hihihi.Ngoja nianze Kukusnitch.
Hahahahahaha!Kwenye Black Knight, ep niliyoipenda ni ile walipokuwa Slovenia tu.
Huko mbeleni naona stori yake hainisisimui kabisa.
Maana kuna dramas unaweza kuziangalia hata masaa 48 na usilale.
Black Knight inanichosha kuiangalia!
BTW, nimejikaza hadi nimefika ep ya 8.
Kutumia Google.Unaanzaje kuni-snitch kimfano? Hihihi.
Ha h a ha! Dramas zimenifanya niijue sheria hivyo hata ukifanikisha hilo basi na-plead the Fifth.Kutumia Google.
Mi Nitaplead Fourth Hahahaha!Ha h a ha! Dramas zimenifanya niijue sheria hivyo hata ukifanikisha hilo basi na-plead the Fifth.
Hapo sasa ndio kazi ilipo!
Dramafire haifunvuki kabisaa server yake inagoma, hizo zingine nikijaribu ku download nazo hazitaki na nyingine hiyo drama haipo kabisa.Mkuu,
Unaweza kuelezea kiundani tatizo liko wapi kwenye hizo sites ulizozitaja?
Vipi kuhusu KissAsian, ushajaribu?Dramafire haifunvuki kabisaa server yake inagoma, hizo zingine nikijaribu ku download nazo hazitaki na nyingine hiyo drama haipo kabisa.
Yah! Nikwel haifunguki ukitumia server ya mwanzo. Lakin si kwamba haipo, ipo sema imekuja kivingine na imeboreshwa zaid. Mm naitumia toka Juzi mpaka leo naona haizingui tena iko poa sana. DramaFireDramafire haifunvuki kabisaa server yake inagoma, hizo zingine nikijaribu ku download nazo hazitaki na nyingine hiyo drama haipo kabisa.
Mkuu,Yah! Nikwel haifunguki ukitumia server ya mwanzo. Lakin si kwamba haipo, ipo sema imekuja kivingine na imeboreshwa zaid. Mm naitumia toka Juzi mpaka leo naona haizingui tena iko poa sana. DramaFire
Mkuu, Ndio naiona hii reply yako saiz. Basi sawa kama ni hivyo sio mbaya, Japo kuna nilie mwelekeza lakin Naona bado Hajaelew. Saiz kuna Mahala naelekea, tufanye jioni ndio huwa napata mda. Basi muwepo wote ili tujifunze kwa pamoja In Shaa Allah.Mkuu,
Tupia screenshots na sisi tufaidike sote!
Pamoja mkuu.Mkuu, Ndio naiona hii reply yako saiz. Basi sawa kama ni hivyo sio mbaya, Japo kuna nilie mwelekeza lakin Naona bado Hajaelew. Saiz kuna Mahala naelekea, tufanye jioni ndio huwa napata mda. Basi muwepo wote ili tujifunze kwa pamoja In Shaa Allah.