Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa
Hiyo Empress Ki ni moja ya Drama nzuri sana. Nimei-Recommend kwa watu wengi tu na wameipenda sana. Nakushauri, iendeleze mpaka mwisho mkuu.

Huyo Tangqishi pamoja na ndunguze bila kusahau dada yake wote ni ma 'kauzu' na baba yao ndiyo usiseme. Ila hawakujua kuwa kuna 'kauzu' zaidi yao.

Nimedokeza tu kidogo, ila hiyo Drama imesheheni vitu vingi sana vyenye kila aina ya burudani ndani yake.
Kwa kuwa ni wewe mkuu umeongea hivyo wacha niendelee kuiangalia
 
Huko kwenye Empress Ki kuna jamaa mmoja anachukiwa sana na Sung nyang anajulikana kama Tangqishi.
Huyo jamaa aliyecheza hiyo nafasi alikuwepo pia katika Queen Seon Deok. Alikuwa "mwoga mwoga" ila huko kwenye Empress Ki anajifanya 'kauzu' zaidi ya dagaa. Hahaha! Msalimie sana.
Alinikosha alipocheza kwenye " King Gwanggaeto The Great Conqueror " alikuwa anaitwa Teoli Pisu alikuwa anapiga mawe huyo!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Muno alikuwa kiboko yao ila tu aliniudhi alivyokuwa anamtreat Bidam
Munno aliwekeza vitu vingi sana kwa Bidam ili baadaye aje awe Mfalme kwa kumuoa Deokman ili kuutimiza ule 'utabiri' wa kuanguka kwa Mishil pamoja na mpango wa kuyaunganisha mataifa matatu.

Lakini baada ya lile tukio la mauaji la Bidam kule kwenye mapango lilimdhoofisha sana na kumvunja moyo Munno kiasi cha kuanza kumbadilikia Bidam na hata kubadili mpango wake na kutafuta mtu mwingine (Kim Yusin) kuchukua nafasi ya Bidam.

Ni kweli naweza kusema kuwa pamoja na mabaya ya Bidam aliyoyafanya sidhani kama ilikuwa sahihi sana kwa Munno kumchukia kupita kiasi na kumshambulia kwa maneno Bidam kutokana na kosa la utotoni.

Ila ni ngumu sana kwakweli katika hali ya kibinadamu kwa mtoto mdogo kuwaua watu wote wale tena kwa kudhamiria, inatisha sana na kuna funzo kubwa sana hapo ukizingatia kwamba Munno naye alikuwa binadamu pia.

Lakini yote kwa yote Munno alikuja kujirudi kwa Bidam nyakati za mwisho wakati anakufa na akamwambia kuwa daima yeye (Bidam) atabaki kuwa mwanafunzi wake na pia akampatia fursa ya kujiunga na Hwarang.
 
Kwenye drama ya Queen Seondeok majembe wangu walikuwa no hawa hapa
download%20(4).jpeg
download%20(3).jpeg
download%20(1).jpeg
download.jpeg
 

Attachments

  • download%20(4).jpeg
    download%20(4).jpeg
    7 KB · Views: 27
  • download%20(3).jpeg
    download%20(3).jpeg
    7.3 KB · Views: 23
  • download.jpeg
    download.jpeg
    8.7 KB · Views: 19
  • images.jpeg
    images.jpeg
    11 KB · Views: 24
  • download%20(2).jpeg
    download%20(2).jpeg
    8.4 KB · Views: 24
  • images.jpeg
    images.jpeg
    11 KB · Views: 16
Ni kazi nzuri sana walifanya hasa kusimama katika nafasi zao na kuubeba uhusika vilivyo ili kuhakikisha kazi inakuwa bora sana machoni pa watazamaji (yaani sisi).

Bila kuwasahau pia walioigiza katika Characters wengine kama vile;
  • Misaeng
  • Mishil (Seju)
  • Jukbang (The Mighty)
  • Godo
  • Alcheon
  • Kim Seohyeon (Baba yake Kim Yusin)
  • Sejong
  • Princess Cheonmyeong
  • Hajong
  • Bojong
Na wengine wengi waliohusika bila kusahau Character mkubwa kabisa aliyebeba Drama na Storyline kwa ujumla, Deokman kuanzia utoto hadi 'utu uzima'.
 
Ni kazi nzuri sana walifanya hasa kusimama katika nafasi zao na kuubeba uhusika vilivyo ili kuhakikisha kazi inakuwa bora sana machoni pa watazamaji (yaani sisi).

Bila kuwasahau pia walioigiza katika Characters wengine kama vile;
  • Misaeng
  • Mishil (Seju)
  • Jukbang (The Mighty)
  • Godo
  • Alcheon
  • Kim Seohyeon (Baba yake Kim Yusin)
  • Sejong
  • Princess Cheonmyeong
  • Hajong
  • Bojong
Na wengine wengi waliohusika bila kusahau Character kubwa kabisa iliyobeba Drama na Storyline kwa ujumla, Deokman kuanzia utoto hadi 'utu uzima'.
Ama kweli kwangu mimi hata chronicles haingii kwa hapa
 
Munno aliwekeza vitu vingi sana kwa Bidam ili baadaye aje awe Mfalme kwa kumuoa Deokman ili kuutimiza ule 'utabiri' wa kuanguka kwa Mishil pamoja na mpango wa kuyaunganisha mataifa matatu.

Lakini baada ya lile tukio la mauaji la Bidam kule kwenye mapango lilimdhoofisha sana na kumvunja moyo Munno kiasi cha kuanza kumbadilikia Bidam na hata kubadili mpango wake na kutafuta mtu mwingine (Kim Yusin) kuchukua nafasi ya Bidam.

Ni kweli naweza kusema kuwa pamoja na mabaya ya Bidam aliyoyafanya sidhani kama ilikuwa sahihi sana kwa Munno kumchukia kupita kiasi na kumshambulia kwa maneno Bidam kutokana na kosa la utotoni.

Ila ni ngumu sana kwakweli katika hali ya kibinadamu kwa mtoto mdogo kuwaua watu wote wale tena kwa kudhamiria, inatisha sana na kuna funzo kubwa sana hapo ukizingatia kwamba Munno naye alikuwa binadamu pia.

Lakini yote kwa yote Munno alikuja kujirudi kwa Bidam nyakati za mwisho wakati anakufa na akamwambia kuwa daima yeye (Bidam) atabaki kuwa mwanafunzi wake na pia akampatia fursa ya kujiunga na Hwarang.
Ni kweli lilikuwa tukio baya sana lakini mimi naona zilikuwa akili za utoto tu na kama alivyofanikiwa kumshape katika mengine angeweza kumuelimisha na hilo pia na kwa vile alikuwa bado mdogo angerekebika tu
 
Back
Top Bottom