koncho77
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 7,789
- 10,388
Mkuu Silla ya zamani ilikuwa upande upiHizo tabia zilifanya nikachukia kuangalia Movies ya Drama za Magharibi.
Tabia hizo zilinikera nilipokuwa naitazama Spartacus ( Blood and Sand).
Najua hizo ni movement za watetezi wao, wachojaribu ni kuifanya akili binadamu ione kama hilo ni jambo la kawaida. Mbali na hapo ni ku- promo ushoga ili wawe wengi si wajua watakuwa wamoja kwenye umoja kuna Nguvu. Washenzi sana hawa wahuni.
Ni vigumu kuiunganisha KOREA sababu ya Culture factor, hao wahuni wa S.Kusini wengi wanaendelea ku- adapt Umagharibi kwenye Tamaduni zao, na utamaduni siku zote ndio alama ama utambulisho wa jamii ama Taifa na Bara Husika. na ndugu zangu wa N.Korea wao kama ni muziki wa Hip hop basi ni ile Old skool rap( Ngumu) hawa bado moyoni mwao ni wa Joseon/ Wagogryeo. Watazame kuanzia lugha yao it's pure natural, mavazi yao. Hahaha hapo ndipo pataleta mgongano katika suala la Tamaduni,maana wanaume wa S.K washazoea kujipodoa wakati kule kwetu tunawaza namna ya kutengeneza Hwangseong 16.
S.K wakihalalisha UBWABWA sitashangaa maana Ni moja kati ya chakula kitamu.
Isijekuwa ilikuwa kusini wakati mimi na ushoga ni kushoto na kulia