Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Nimeshaitazama drama tamu sana
Hii drama ya RED SLEEVE kuna yeyote ambae ameshaitazama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii drama ya RED SLEEVE kuna yeyote ambae ameshaitazama?
Wazee wa The Red Sleeve tusaidiane hivi hii ya Deok Im kufariki ilikuwa ni ndoto tu ya Lee San ama tu wameamua kutupoza kwa hii sad moment
Yah kajaribu kutuliza mioyo still imeniacha na maumivu ila OST zake ndio zimenituliza ni matata sana hasa hii ya mwisho ya Lia wa Itzy inaitwa Always be your starNimefika mwisho naona sio ndoto ni kweli ila ndo vile director aliogopa reactions za wadau akachanganya na ndoto
Hiyo ilifutwa haikuendelea kutokana na kashkash flaniMwendelezo wa joseon exorcist VP
Mkuu tutajuta au hatutojutaWeekend yako ili uende vizuri kabisa itafute drama ya Show window: The Queen's house utajuta kupoteza bando lako. Hii drama inahusiana na Jamaa mmoja alikuwa ana mke wake but anamchepuko pembeni yaani huyu mchepuko aliyocheza hii drama kama wewe unaangalia pia umeolewa utatamani uingie kwenye tv umuue huyo binti, huyu binti anajua kukera na kuumiza kweli kweli mke wa huyo jamaa kashi kashi aliyoipata kwa huyo mchepuko mpaka nikaanza kumuonea huruma aisee binti ni mpole ila vitu alivyokuwa anafanya ni balaa.
missyrose
Numbisa
DAEMUSHIN
Kheri007
Vagabond99
Franky Samuel
Kuchapia inatokea sisi ni binadamu sio MunguMkuu tutajuta au hatutojuta
Yah kajaribu kutuliza mioyo still imeniacha na maumivu ila OST zake ndio zimenituliza ni matata sana hasa hii ya mwisho ya Lia wa Itzy inaitwa Always be your star
Nilitaka ufafanuzi tu mkuu maaa umeisifia halafu hapo utajuta ndio kukanitos kwenye reliKuchapia inatokea sisi ni binadamu sio Mungu
Asante..ikiisha nashusha. Kwa sasa nna stock tu nikitulia naanza moja mojaWeekend yako ili uende vizuri kabisa itafute drama ya Show window: The Queen's house utajuta kupoteza bando lako. Hii drama inahusiana na Jamaa mmoja alikuwa ana mke wake but anamchepuko pembeni yaani huyu mchepuko aliyocheza hii drama kama wewe unaangalia pia umeolewa utatamani uingie kwenye tv umuue huyo binti, huyu binti anajua kukera na kuumiza kweli kweli mke wa huyo jamaa kashi kashi aliyoipata kwa huyo mchepuko mpaka nikaanza kumuonea huruma aisee binti ni mpole ila vitu alivyokuwa anafanya ni balaa.
missyrose
Numbisa
DAEMUSHIN
Kheri007
Vagabond99
Franky Samuel
Asante..ikiisha nashusha. Kwa sasa nna stock tu nikitulia naanza moja moja
Vip ipo vizuri?NOW WATCHING: THE SILENT SEA
Mzigo hupo vizur sana, wazungu wajiangalie sana maana CGI na green screen iliyopigwa kwenye the silent SEA sio ya kawaidaVip ipo vizuri?
No ongoing au imeshaishaMzigo hupo vizur sana, wazungu wajiangalie sana maana CGI na green screen iliyopigwa kwenye the silent SEA sio ya kawaida
NETFLIX wanamaliza mchezo mapema kabisa hawapendi kuwaacha mashabiki na sonona, zipo episode 8No ongoing au imeshaisha
Inahusiana na nini hiyo drama?NETFLIX wanamaliza mchezo mapema kabisa hawapendi kuwaacha mashabiki na sonona, zipo episode 8
Huwa sipendi kabisa melodrama zenye sad ending.Nimefika mwisho naona sio ndoto ni kweli ila ndo vile director aliogopa reactions za wadau akachanganya na ndoto
Naomba link ya huu mzigo.. Naitafuta sanaWAKATI NAITAZAMA THE VEIL KUNA EPISODE MOJA JAMAA WAKAITAJA TANZANIA [emoji3][emoji3][emoji3][emoji2][emoji2][emoji2]View attachment 2067927
Netnaija.comNaomba link ya huu mzigo.. Naitafuta sana
Au ni app gani naweza kuipakua?