Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Wadau Weekend hii nahitaji kuangalia series ya Kikorea ya Action hatari zaidi ya Vagabond.
Tafadhali naombeni mnitajie majina ya Series hizo.
✓The Last ( Hii ina mkono alafu ina story nzuri ndani yake )
✓Innocent Defendant ( hii pia ina story nzuri kuliko series yoyote ya action niliyowahi kuicheki )
✓The Veil
 
Ebwana eeh nilikuwa napata tabu kudownload hata episodes 5 kwa Wire Tun kumbe tatizo dogo sana sasa hivi nakimbiza hadi episodes 15 kwa siku speed ya 800kbps hadi 2mbps.[emoji2956][emoji2956]

Halafu mtu akinitext pm anitaarifu hapa mi mvivu kuangalia notifications nimekuta watu zaidi ya 10 message zao za tangu January mwanzoni wakitaka hints ila nna imani washaelewa kupitia kwa wengine
Line ya Tigo vipi Mkuu??
 
Tumia line ya Tigo 4G halafu pale ambapo huwa speed inashuka hadi 0.0kbps kama dk 3 we zima data then unawasha inaendelea kusonga tu.

Tigo ni moto speed yake inapiga hadi 2mbps now ttcl natumia muda wa kuperuzi tu
Duh mbona alijibu chini ya comment uliyoquote
Line ya Tigo vipi Mkuu??
 
Huyu mzee unamjua!?[emoji2][emoji1787]

Ukikutana nae kwenye series usiiache,[emoji2]
IMG_20220210_213156_247~2.jpg
 
Kuna mdau humu alisuggest series ya at a distance,the spring is green!
Big up kwake,ile series fupi ila imenifanya nikumbuke life la ujana na jinsi tulivyokua tu tunafall in love kizembe bila kuwaza nikajikuta nacheka sana,yan nimekumbuka life la chuo!
Nimewaza mbali sana,
Uzi udumu huu!
 
Kuna mdau humu alisuggest series ya at a distance,the spring is green!
Big up kwake,ile series fupi ila imenifanya nikumbuke life la ujana na jinsi tulivyokua tu tunafall in love kizembe bila kuwaza nikajikuta nacheka sana,yan nimekumbuka life la chuo!
Nimewaza mbali sana,
Uzi udumu huu!
Yah drama tamu pia life and friendship inafikisha mbali yule jamaa ambaye anasoma huku anapiga kazi mbalimbali ili asaidie familia yake yaani hata kwa kulala ilikuwa shida ili tu amsomeshe mdogo wake aisee ilinigusa sana.
 
Yah drama tamu pia life and friendship inafikisha mbali yule jamaa ambaye anasoma huku anapiga kazi mbalimbali ili asaidie familia yake yaani hata kwa kulala ilikuwa shida ili tu amsomeshe mdogo wake aisee ilinigusa sana.
Mi mwenyewe alinigusa sana mana ndo struggle tunapitia na tulipitia,unakuta akili ya darasani unayo ila ada sasa ndo kipengele
Yan wamenigusa sana wale
 
Snowdrop mandhari kama ya reply 1988 sijui huwa wanafanyaje kurudisha mambo yote miaka ya nyuma.

Drama za 2021 nyingi wameboronga unakuta nyingine mwanzo nzuriii ila umaliziaji mbovu. Hope mwaka huu burudani itakua safi mwanzo mwisho
 
Snowdrop mandhari kama ya reply 1988 sijui huwa wanafanyaje kurudisha mambo yote miaka ya nyuma.

Drama za 2021 nyingi wameboronga unakuta nyingine mwanzo nzuriii ila umaliziaji mbovu. Hope mwaka huu burudani itakua safi mwanzo mwisho
Hivi ni nzuri kweli maana nimeishia episode ya pili .

Mademu wa chuo cha wanawake na wale jamaa wanakutana mgahawa
 
Snowdrop mandhari kama ya reply 1988 sijui huwa wanafanyaje kurudisha mambo yote miaka ya nyuma.

Drama za 2021 nyingi wameboronga unakuta nyingine mwanzo nzuriii ila umaliziaji mbovu. Hope mwaka huu burudani itakua safi mwanzo mwisho
Hii ndio inaniboaga wanakuwa si wabunifu kingine unakuta Korean drama nyingi za romance zinamaudhui ya kwamba main character waanza mahusiano wakiwa watoto wanapotezana hapo Kati Kati wanakutana wakiwa wakubwa yaani najiuliza kwani lazima story zao ziwe hivi
 
Wakorea wanafurahisha 😂😂😂😂😂kuna actor mmoja(saiv yupo kwenye young lady and gentleman)huyu jamaa kila drama anayoigiza lazima apoteze fahamu/kumbukumbu kwa muda
Hii ndio inaniboaga wanakuwa si wabunifu kingine unakuta Korean drama nyingi za romance zinamaudhui ya kwamba main character waanza mahusiano wakiwa watoto wanapotezana hapo Kati Kati wanakutana wakiwa wakubwa yaani najiuliza kwani lazima story zao ziwe hivi
 
Back
Top Bottom