Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Wapenzi wa ongoing mnazionaje drama ya Bora Deborah? Na Stealer_The_Treasure_Keeper? Mi naona Bora Deborah nilitegemea kutakuwa na comedy na story kali lakini Episodes 2 tu za mwanzo nahisi kutovutiwa tena( labda nisubiri hadi iishe),Stealer;The Treasure Keeper Plot iko speed mno lakini angalau ni interesting nishacheki Episodes 2

Nazoangalia kwa sasa ni
Yonder

Doctor Cha(Comedy za kutosha + story ya kuvutia)

The real has come

Apple of my eye

Huku nikisuburia Dr Romantic S3 na Black night

Mimi ongoing nayofatlia nimeanza na Family ya my Favourit duo Jang hyuk na jang nara

Oasis na the real has come nilianza nikastop

Ila sababu ya ramadhan muda ulikua finyu na ibada za hapa na pale

Now i’m baack so i will take hizo kama recommendations.

Ila throughout nilifanikiwa kuitazama Younglady na Gentlemen na weekly variety show zangu[emoji2960] ‘ i live alone na mask singer.
 
Hii Yi San nilijaribu kuifuatilia kwenye sites ambazo hazitumii Mb's nyingi, nikaipata KimoiTv tu ila ilikuwa ni raw nikalazimika kuitafuta dramanice kwenye Mb's kidebe.

Ilikuwa ni mwaka jana sijui kwasasa, labda tayari wameiwekea subtittles.
Angalia mkuu Pandora beneath the paradise hii ndio kiboko ya yote ukiachana na big mouth hii ndio inayofuata kwa ukali kwa mwaka Huu kwa Maoni yangu ina story Kali, ina mtiririko mzuri wa matukio, ina hamshahamsha kuanzia Mwanzo mpaka mwisho
 
Mimi ongoing nayofatlia nimeanza na Family ya my Favourit duo Jang hyuk na jang nara

Oasis na the real has come nilianza nikastop

Ila sababu ya ramadhan muda ulikua finyu na ibada za hapa na pale

Now i’m baack so i will take hizo kama recommendations.

Ila throughout nilifanikiwa kuitazama Younglady na Gentlemen na weekly variety show zangu[emoji2960] ‘ i live alone na mask singer.
Family wapi umepata ambayo ipo subbed?
 
Family wapi umepata ambayo ipo subbed?

Nkiri na dramanice zote iko subbed
Ila ni majanga

Niliishusha kwa nkiri nikahis wamekosea nikaishua kwa dramanice hali hiyohiyo

Wanasema disney wamenunua international rights za kuonyesha so hata suala la ku sub lipo chini yao, ni worse

Yani na kikorea cha kusikia hapa na pale na unagundua makosa
 
Nkiri na dramanice zote iko subbed
Ila ni majanga

Niliishusha kwa nkiri nikahis wamekosea nikaishua kwa dramanice hali hiyohiyo

Wanasema disney wamenunua international rights za kuonyesha so hata suala la ku sub lipo chini yao, ni worse

Yani na kikorea cha kusikia hapa na pale na unagundua makosa
Niliona malalamiko kama haya,haina budi kusubiri mpaka itakapooneshwa na kuwa subbed kwenye platforms zingine,wanaisifia ni nzuri sana ni kweli?
 
Niliona malalamiko kama haya,haina budi kusubiri mpaka itakapooneshwa na kuwa subbed kwenye platforms zingine,wanaisifia ni nzuri sana ni kweli?

Ni nzuri
Unapata taste za jang hyuk akiwa serious na funny

Though kuna scene niko uncomfortable ila sio sehem kubwa

Mwenyew nataman kusubiri kama kutakua na marekebisho

Maana wanachanganya hadi she/he, you/I
Oppa sub inaandika big bro na hapo mtu na mkewe wanaitana

Wanatumia tafsir si si si sijui[emoji23]
 
Ni nzuri
Unapata taste za jang hyuk akiwa serious na funny

Though kuna scene niko uncomfortable ila sio sehem kubwa

Mwenyew nataman kusubiri kama kutakua na marekebisho

Maana wanachanganya hadi she/he, you/I
Oppa sub inaandika big bro na hapo mtu na mkewe wanaitana

Wanatumia tafsir si si si sijui[emoji23]
[emoji1787][emoji1787]Wanakwama wapi hao,ndio zile Wanakuambia fighting!
 
mmmh i live alone,mask singer episode kama zote,
Mimi ongoing nayofatlia nimeanza na Family ya my Favourit duo Jang hyuk na jang nara

Oasis na the real has come nilianza nikastop

Ila sababu ya ramadhan muda ulikua finyu na ibada za hapa na pale

Now i’m baack so i will take hizo kama recommendations.

Ila throughout nilifanikiwa kuitazama Younglady na Gentlemen na weekly variety show zangu[emoji2960] ‘ i live alone na mask singer.
 
Ni nzuri
Unapata taste za jang hyuk akiwa serious na funny

Though kuna scene niko uncomfortable ila sio sehem kubwa

Mwenyew nataman kusubiri kama kutakua na marekebisho

Maana wanachanganya hadi she/he, you/I
Oppa sub inaandika big bro na hapo mtu na mkewe wanaitana

Wanatumia tafsir si si si sijui[emoji23]
Khaaa [emoji23][emoji23][emoji23] sitaki hata kuiona hiyo drama sijui show...watakuwa wametumia google translate
 
Back
Top Bottom