Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
huwa Wana ratiba yao, mi nime iweka reserve kwanza.Hivi wanakuwa wanatoa episode lini na lini
👉Maana sitaki stress za kusubiri😀🤣, nime amua niangalie scarlet heart🤒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huwa Wana ratiba yao, mi nime iweka reserve kwanza.Hivi wanakuwa wanatoa episode lini na lini
Kill j5 Wana achia episode 2, na tatu za mwisho wata achia 25/10🤣😀😀 Hziyech22Hivi wanakuwa wanatoa episode lini na lini
Haya ni mateso kwa kweliKill j5 Wana achia episode 2, na tatu za mwisho wata achia 25/10🤣😀😀 Hziyech22
Kwa mwezi Wana achaia vipande Kama 8, so vuta muda iishe tarehe 25/10 ili uifaidi🤣😀Haya ni mateso kwa kweli
Nimeimaliza ,stori iko poa umetumia ila hamna maAction ya kibabe .Huo mzigo unaitwa "Ballad of Seodong" upo vizuri huo mzigo.
Halafu hawa wazee wa kutafsiri wanapenda kujitungia majina unakuta drama wanaiita "fake love", "the mask", "revenge" , "betrayal" wanajitungia majina sijui wana shida gani😀
View attachment 2714879
Test za mjini sasa wavaa mashuka pumzika kuwaangalia😂Nimeimaliza ,stori iko poa umetumia ila hamna maAction ya kibabe .
Hata iwe mimi wavaa mashuka mimi lazima kuwe na military conquest naona ya nchi mbalimbali au internal conflicts na isiwe based on love story mapenzi mengi na personal conflicts.Test za mjini sasa wavaa mashuka pumzika kuwaangalia😂
Kiufupi tuseme unapenda heka heka za kisiasa na mapinduzi ya kijeshi.Hata iwe mimi wavaa mashuka mimi lazima kuwe na military conquest naona ya nchi mbalimbali au internal conflicts na isiwe based on love story mapenzi mengi na personal conflicts.
Nimetest A man called God ,Moorin School na moja jina nimesahau ya kishuleshule , kuna shule wanafunzi mpaka walimu vichaa anapelekwa mwalimu bingwa siku ya kwanza kuripoti anapishana njiani na bodaboda anaendesha pikipiki hovyo njia nzima akisupply mikate alipofika geti la shule bodaboda anaingia kumbe ni mwanafunzi anapiga Job asubuhi kabla ya kuingia shule.Test za mjini sasa wavaa mashuka pumzika kuwaangalia😂
Yah humohumo umpatia 100% hata love story ikiwepo na mengineyo yakiwepo yawe ndani ya mambo hayo.Sipendi mtu episode 5 anamfukizia demu tu maudhui yote ya muvi katika episode hizo zimebase kwenye mapenzi na kufukuzia mchumba tu ,naenda kuwe na utofauti story na matukio mchanganyiko .Kiufupi tuseme unapenda heka heka za kisiasa na mapinduzi ya kijeshi.
God of studyNimetest A man called God ,Moorin School na moja jina nimesahau ya kishuleshule , kuna shule wanafunzi mpaka walimu vichaa anapelekwa mwalimu bingwa siku ya kwanza kuripoti anapishana njiani na bodaboda anaendesha pikipiki hovyo njia nzima akisupply mikate alipofika geti la shule bodaboda anaingia kumbe ni mwanafunzi anapiga Job asubuhi kabla ya kuingia shule.
Hajakaa vizuri akiwa anaingia katika viunga vya shule vipande vya karatasi vinamdondekea kichwani kuokota kutizama ni mtihani umbao ulikuwa unachanwa na mwanafunzi aliyekuwa juu ya jengo ,siku ya kaanza class anafundisha kugeuka nyuma wanafunzi wote wamelala kasoro mmoja ambaye anamfuatilia kumsogelea karibu kakuta alikuwa anachorwa na mwanafunzi kama kibonzo.
Darasa lilikuwa full vituko jamaa akaselect wachache wenye afadhali akaunda study camp nje ya shule ,hatimaye wakawa vipanga nchi nzima na ila shule ikaja kuongoza .Haikuwa kazi rahisi humo kuna full vituko ,story kali ,matukio yamepangiliwa fresh na love story kwa ndani.
Aangalia the empress kiYah humohumo umpatia 100% hata love story ikiwepo na mengineyo yakiwepo yawe ndani ya mambo hayo.Sipendi mtu episode 5 anamfukizia demu tu maudhui yote ya muvi katika episode hizo zimebase kwenye mapenzi na kufukuzia mchumba tu ,naenda kuwe na utofauti story na matukio mchanganyiko .
Nataka nihamie mjini kwa muda ,nataka nianze na Lobbyist vipi kali ?Kiufupi tuseme unapenda heka heka za kisiasa na mapinduzi ya kijeshi.
Kali sema ya zamani sana ungeanza na City hunter au man called god.Nataka nihamie mjini kwa muda ,nataka nianze na Lobbyist vipi kali ?
Man Called God tayari mda sana .Kali sema ya zamani sana ungeanza na City hunter au man called god.
Mimi mpaka nimeisahau, ingekuwa kitonga kipo ningeirudiaMan Called God tayari mda sana .
Haechi😳 hii drama ilinishinda kbs nilijikaza mpk ep 15 nikaishia hapoo haina msisimko kbs.Mvaa Kobazi cheki list hii the royal gambler, Jang ok Jung, warrior baek dong so.
👉 Scholar who walk the night, shine or go crazy,
👉Haechi, secret door, gun man in joseon
View attachment 2767827View attachment 2767828
Sema huja ilewa theme yake,Haechi😳 hii drama ilinishinda kbs nilijikaza mpk ep 15 nikaishia hapoo haina msisimko kbs.