Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 6,346
- 14,546
playlist yako imejaa OST Kaka😃I mean no malice to nobody adriz, Selikavu chuma hicho😀😂.
👉 My favorite ni our tears
View attachment 2918474
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
playlist yako imejaa OST Kaka😃I mean no malice to nobody adriz, Selikavu chuma hicho😀😂.
👉 My favorite ni our tears
View attachment 2918474
Hiyoo ni moja Nina vitu ka hizi😁, huyo Lee hi & punch Wana jua Sana.playlist yako imejaa OST Kaka😃
Hata director na mwandishi wame badilika, nilivyobona hivyo nime ikaushia.Director wake kabadilisha mandhari series ya kikorea imekuwa kama Roman empire kuanzia majengo ,mavazi , watu walivyojiwe , mandhari mpaka HD ya camera.
Hakuna mashuka Og ya Kigugryo au KiJoseon director amefanya suprise mule..
Nili angalia 1 tu, na yenyewe ili Isha kiboya, Afu season 2 Waka badilisha actors.,Ipi Kali Kati ya season 1 na 2 ?
Hizi nimesikiliza Sana 😃😃Hiyoo ni moja Nina vitu ka hizi😁, huyo Lee hi & punch Wana jua Sana.
View attachment 2918666
Demu gani ?Hata director na mwandishi wame badilika, nilivyobona hivyo nime ikaushia.
👉Lengo lilikuwa nimwibe yule Dem😁
Kile kizuri Cha kwenye island, ambayo Jamaa na mama ake wali enda😁🤣Demu gani ?
Ipi Kali Kati ya season 1 na 2 ?
Ipi Kali Kati ya season 1 na 2 ?
Nikimaliza 2 nitaicheki hiyo 1.Season 1
Simfahamu huyo, hii season 2 kuna demu wa Bang Won dada yake na Lee Bang Je wa kwenye six flying dragon.Mwanangu Gunman ana..... pazuri kama Intelligent businessman .Kile kizuri Cha kwenye island, ambayo Jamaa na mama ake wali enda😁🤣
Huwezi ielewa story🤣😁Nikimaliza 2 nitaicheki hiyo 1.
Season 2 nimeilewa Sana mpaka nyingine Nne nimeziweka pending ila inahitaji umakini Sana kuielewa kama unasoma biology kuunga dots kila mahali.Huwezi ielewa story🤣😁
🤣😁, Wachina wame niletea hi kitu Jana🤣Season 2 nimeilewa Sana mpaka nyingine Nne nimeziweka pending ila inahitaji umakini Sana kuielewa kama unasoma biology kuunga dots kila mahali.
Kuisha kiboya ndio jinsi zinavyokuwa tatizo watazamaji tunataka iishe tunabyotaka ndio tunafurahi ,hata Emperor of the Sea kipindi tunacheki nyumbani jinsi ilivyoisha kila mtu alihuzunika sister wangu ndio kabisa hapendi hata kuisikia kwa yaliyomtokea Jang bongo mwishoni .Nili angalia 1 tu, na yenyewe ili Isha kiboya, Afu season 2 Waka badilisha actors.,
Kifupi kwangu wali zingua mwishonk
Maana yangu walikuwa na mpango wa kuleta season 2 kwa ilivyo Isha.Kuisha kiboya ndio jinsi zinavyokuwa tatizo watazamaji tunataka iishe tunabyotaka ndio tunafurahi ,hata Emperor of the Sea kipindi tunacheki nyumbani jinsi ilivyoisha kila mtu alihuzunika sister wangu ndio kabisa hapendi hata kuisikia kwa yaliyomtokea Jang bongo mwishoni .
Mimi mwenyewe Six flying dragon sikuoenda mwanangu Muhuyul kumaliza movie akiwa team Kataa demu , nilitarajia atamchukua Yule aliyekuwa msaidizi wake Lee Bang Ji wafaunge ndoa mwishowe mapambano yote kaishia kuishi bila family.
Darisalama kila mwanamke ni msusi wa nywele, saluni ni nyingi kuliko wahitaji huduma za ususi.
Numbisa nimefika hapa millenium tower sijakuona, ulinambia wewe ndiye mmiliki wa hili jengo.
Hakuna uchawi wao wa kiboya humo ? Mimi wachina nimkubali Zhi Long (Zhao Yun) Tu mule mkono ulitembea na mpangilio wa matukio ulikuwa Moto sana.🤣😁, Wachina wame niletea hi kitu Jana🤣
View attachment 2919340