Kweli kabisa kumbe pale wanakuwa wamekuja kudanga na wapo wengi ki shenzi na RAMADAWanadanga Kempinski roof top
Hiv umesoma vizuri mada?wapo walio jiongeza na kuwekeza kwenye mambo mengine
YOUR BRAIN NEEDS FUMIGATION🧘🏿♂️🧘🏿♂️🧘🏿♂️🧘🏿♂️Aisee nawaonea huruma Sana wasanii wanaotegemea kuendesha maisha yao kupitia show Corona kachafua Hali ya hewa.
Kwa hakiba waliyojiwekea
Jr[emoji769]
nafikir nimekurupukaHiv umesoma vizuri mada?
[emoji23][emoji23] i like it...you are humble and directn
nafikir nimekurupuka
asante
We pimbi unawaza wasanii tu? Hujaskia kuna viwanda vimefungwa kisa corona?Aisee nawaonea huruma Sana wasanii wanaotegemea kuendesha maisha yao kupitia show Corona kachafua Hali ya hewa.
Wewe ni msanii mbona umepaniki kiasiWe pimbi unawaza wasanii tu? Hujaskia kuna viwanda vimefungwa kisa corona?
Hakiba ❌
Ila nipenda ulivyokili kosa ujaleta ujuaji watu wa aina yako sijawaona kabisa humu jamiiforum.n
nafikir nimekurupuka