Commander In Chief
JF-Expert Member
- May 12, 2019
- 315
- 719
Kama mashetani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo anatafuta ANGLE ya kumsifia "Mungu mtu WAO" ndo maana kapiga hukoWe pimbi unawaza wasanii tu? Hujaskia kuna viwanda vimefungwa kisa corona?
Siyo kukili boss ni kukiri sawa?Ila nipenda ulivyokili kosa ujaleta ujuaji watu wa aina yako sijawaona kabisa humu jamiiforum.
Italy watu wanatupa hela zimekosa maana na thamani.Sio wasanii tu, watu wa fani nyingine pia wamekwama kipindi hiki. Na hali hii ikiendelea hata ukiwa na pesa utatafuta cha kununua.
Boss yupi?Jionee huruma na wewe maana utakosa vya kupost kuhusiana na boss wako
Ngoja wa kina konde boy wakusikieAisee nawaonea huruma Sana wasanii wanaotegemea kuendesha maisha yao kupitia show Corona kachafua Hali ya hewa.
Wanamsaidia Harmonize kutangaza album yakeAisee nawaonea huruma Sana wasanii wanaotegemea kuendesha maisha yao kupitia show Corona kachafua Hali ya hewa.
Hujakurupuka mtoto mzurin
nafikir nimekurupuka
Kweli kabisa kumbe pale wanakuwa wamekuja kudanga na wapo wengi ki shenzi na RAMADA
Sent using Jamii Forums mobile app