Kwa wasanii wanaotegemea show kipindi hiki wanaishije?

Kwa wasanii wanaotegemea show kipindi hiki wanaishije?

Sio wasanii tu, watu wa fani nyingine pia wamekwama kipindi hiki. Na hali hii ikiendelea hata ukiwa na pesa utatafuta cha kununua.
 
Sio wasanii tu, watu wa fani nyingine pia wamekwama kipindi hiki. Na hali hii ikiendelea hata ukiwa na pesa utatafuta cha kununua.
Italy watu wanatupa hela zimekosa maana na thamani.
IMG-20200401-WA0014.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM inawapa shavu kasema uchanguz
Upo pale pale

god is good
 
hakuna msanii anae ishi kwa kutegemea show pekee,wala mziki pekee watu wanashughuli zao usitake kupotosha umma hapa
 
Back
Top Bottom