Kwa wasichana tu plzzzzzzzzz

ndugu wakigombana, chukua jembe uwakate.
Naombeni jembe. . .


Waswahili wa pemba, wanaongea kwa mcharango ili waswahili wa bara tusiwaelewe.

Usiwe kama bozo, wanapigana mdomoni in public wakati viuno vimeungana in private.

mmh JF ni kiboko... wengine wanakuja kupunguza stress, wengine wanaongezea zingine
 
mimi ni dokta wa ukweli
ntamtibu maumivu yake yote forever
au Kipipi unaona wivu? wewe si umenikataa?

Akuuu!! Wivu wa nini ilhali mie sio mgonjwa anaehitaji kutibiwa? Hilo lilikuwa ni swali tu.....Lol!!!
 
ila saint ivuga wangu naomba asiguswe na mtu
 
Ukweli kwenye mahusiano ni kitu cha kizuri hee!
sa ndio aniambie ivo mweh! i wish ningekua namiliki AK47 nikamfyatulia mbali huko..............sa ingine natamani hata kuruka from 35 mpaka chini ila kuna kitu kinaniambia ruka then umwache duniani akila raha ............ila i real want to kill him.......and i will do
 
baada ya kumchana live?
hao ni wadhamini tu achana nao..............we jali tatizo langu mana niko sirias natamani kunywa mpaka nipoteze fahamu...........koz i cant control ma self meeeeeen.......munachukulia utani ila mm naumia na hapa naandika huku machozi kibao yananitoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…