Kainetics
Senior Member
- Jun 20, 2022
- 135
- 276
- Thread starter
- #21
Wamekuskia mkuuWewe pia badilika.Hapo kwenye masuala ya tehama laumu CCM,sio wasomi unaowataja.Angalia mfumo wa elimu somo la tehama MTU anakutana nalo chuo,tena hapo atasoma semester mbili Tu unategema awe competent?Wewe iamboe CCM somo la tehama lifundishwe kuanzia nursery uone Nani ataomba kusaidia kwenye simu/computer