Wamekuskia mkuuWewe pia badilika.Hapo kwenye masuala ya tehama laumu CCM,sio wasomi unaowataja.Angalia mfumo wa elimu somo la tehama MTU anakutana nalo chuo,tena hapo atasoma semester mbili Tu unategema awe competent?Wewe iamboe CCM somo la tehama lifundishwe kuanzia nursery uone Nani ataomba kusaidia kwenye simu/computer
CCM imefanyaje...? Wewe umechukua hatua gani za kujiendeleza? Siku hizi na mtandao wa internet unaweza kujifunza chochote kile online na ukawa competent. Ufahamu wa kawaida kabisa inabidi uwe nao.Wewe pia badilika.Hapo kwenye masuala ya tehama laumu CCM,sio wasomi unaowataja.Angalia mfumo wa elimu somo la tehama MTU anakutana nalo chuo,tena hapo atasoma semester mbili Tu unategema awe competent?Wewe iamboe CCM somo la tehama lifundishwe kuanzia nursery uone Nani ataomba kusaidia kwenye simu/computer
Japo kuwa wamekuskiaa...Wewe pia badilika.Hapo kwenye masuala ya tehama laumu CCM,sio wasomi unaowataja.Angalia mfumo wa elimu somo la tehama MTU anakutana nalo chuo,tena hapo atasoma semester mbili Tu unategema awe competent?Wewe iamboe CCM somo la tehama lifundishwe kuanzia nursery uone Nani ataomba kusaidia kwenye simu/computer
Sasa kama sio msomi unakosoaje wasomi na hujui walichokisomea mjomba! Ulipaswa kuomba muongozo kwa hao wasomi kisha ndo uone kama unakosoa au la. Nazani ukasome kwanzaDuh , mie sio msomi, mkuu Pili hakuna mahala nimeandika kukosea spellings ni tatizo. Asante.