Erick tryphone
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 387
- 84
Tembea ujionee baba.
Kuna phd holder flani alikuwa anatoa presentation mahali nikavua name tag yangu. Sikutaka ijulikane kirahisi tunawakikisha nchi moja!
My grand mother has dead
Hahaha! Ama kweli Jf ni kama noma na iwe noma!
My grand mother has dead
My Grandmama has passed on! Mbona simple tu hií?
Hv nikitaka kusema 'nimefiwa na bibi' kwa lugha ya kiingereza nasemaje?
kuna jamaa kaniambia 'i was deaded by grandma'