Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,505
- 4,427
Habarini wanajukwaa,
Kwa wenye uelewa wa namna gani nafasi za maafisa ofisi ya Rais Ikulu ambao kila uchwao tunaona wakipangiwa majukumu mengine, zinajazwaje naomba aniambie.
Ni utaratibu gani unatumika kuwapata?
Kwa wenye uelewa wa namna gani nafasi za maafisa ofisi ya Rais Ikulu ambao kila uchwao tunaona wakipangiwa majukumu mengine, zinajazwaje naomba aniambie.
Ni utaratibu gani unatumika kuwapata?