mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Wakuu heshima kwenu!
Kwa wale watoto wa mjini tuu tulio jua taa za barabarani miaka ya 90... tulio kuwa tunapiga misele kwa kupanda gari la kazini bure.
Watoto wa mesi... watoto wa mason club watoto wa senior club.
Mpo wapi wakazi wa BQ, Construction house, H5 watoto wa kimasikini H3 na H1.
Mpo wapi watoto wa mtaa wa chini na wajuu pale sawala.. watoto wa Midzini mgololo.. kariakoo sokoni... barabara ya morogoro Road... wapi wazee wa wedi wala mikusu kule airport..
Mgololo
Kitu kizuri sana Mwalimu ali
tengeneza nowdays maisha ni hopeless na mateso na majuto
Kwa wale watoto wa mjini tuu tulio jua taa za barabarani miaka ya 90... tulio kuwa tunapiga misele kwa kupanda gari la kazini bure.
Watoto wa mesi... watoto wa mason club watoto wa senior club.
Mpo wapi wakazi wa BQ, Construction house, H5 watoto wa kimasikini H3 na H1.
Mpo wapi watoto wa mtaa wa chini na wajuu pale sawala.. watoto wa Midzini mgololo.. kariakoo sokoni... barabara ya morogoro Road... wapi wazee wa wedi wala mikusu kule airport..
Mgololo
Kitu kizuri sana Mwalimu ali
tengeneza nowdays maisha ni hopeless na mateso na majuto