Kwa watu wa zamani tu!!

Kwa watu wa zamani tu!!

Vijana wa zamani hovyo kabisaaaa nyie wakulaumiwa kwa kufanya maisha sasa hivi yawe magumu na ya hovyoooooooo kabisa. Kama Mngeweka msingi Thabit kabisa wakati wenu hali ya nchi sasa hivi isingekuwa hivi ya hovyoooooooo . Mlikuwa hamna focus na vishen. Mmebakia tu sasa hivi kukumbushana misemo yenu ya ajabuajabu humu. You have really let us down and we will never forgive you
 
Day worker
Danga chee
Mambo biee..
Kupiga bambi
Kimentali
Kupigwa ridandasi
Amekanyaga miwaya
Gashi-demu
Mshua-dingi
 
Dah....
Kilo - Laki
Boksi - millions
Michelin - Bongenyanya
 
Back
Top Bottom