Inaonekana leo tIGO imechoka na mitambo yake imegoma kutoa sauti... watu hawasikilizani na sometimes simu haziiti kabisa. ni tatizo la zaidi ya masaa sita na wale watumiaji wa mtandao huu cheap ni mateso matupu wakati sekunde za watu zinaliwa... poleni
CHEAP IS EXPENSIVE
Inaonekana leo tIGO imechoka na mitambo yake imegoma kutoa sauti... watu hawasikilizani na sometimes simu haziiti kabisa. ni tatizo la zaidi ya masaa sita na wale watumiaji wa mtandao huu cheap ni mateso matupu wakati sekunde za watu zinaliwa... poleni
CHEAP IS EXPENSIVE
..au ka cellular kake kana virus? heheehehehe...tiGO customer here ... and haven't seen a glitch. Bado tunalongalonga.
Bila shaka mkuu, itakuwa ni kacellular kake tu......mi nalonga kama kawa....au ka cellular kake kana virus? heheehehehe...
Bila shaka mkuu, itakuwa ni kacellular kake tu......mi nalonga kama kawa..
Ameiita 'tetesi', maybe baada ya kusoma maoni hapa atajua kuwa ni uongo mtupu.Tetesi: Kwa watumiaji wa tigo
tigo zetu????...Wewe endelea kutumia mitandao ya mafisadi uendelee kuwa changia...AU NYIE TIGO ZENU ZIKO POA??
Inaonekana leo tIGO imechoka na mitambo yake imegoma kutoa sauti... watu hawasikilizani na sometimes simu haziiti kabisa. ni tatizo la zaidi ya masaa sita na wale watumiaji wa mtandao huu cheap ni mateso matupu wakati sekunde za watu zinaliwa... poleni
CHEAP IS EXPENSIVE
tigo zetu????...Wewe endelea kutumia mitandao ya mafisadi uendelee kuwa changia...
Wateja wanastahili huduma bora. Si haki kuwakata watumiaji pesa wakati service hawaipati. TCRA bado ina kazi kubwa ya kufanya hasa elimu juu ya haki kwa wateja wa simu.
Wachangiaji wengi naona wanasema ati ni kawaida, itakwisha na hata operators wengine huwa na matatizo hayo. Lazima tufike mahali tuseme no kwa poor services (especially when they charge us for such poor services).Kama kuna matengenezo(planned) wanatakiwa kutoa taarifa au kufanya matengenezo kipindi chenye low traffic (say usiku).
Mimi mbona sijapata tatizo? ebu fuatilia labda ni simu yako tu.