TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Inaonekana leo [tar 19/8/2009] tIGO imechoka na mitambo yake imegoma kutoa sauti... watu hawasikilizani na sometimes simu haziiti kabisa. ni tatizo la zaidi ya masaa sita na wale watumiaji wa mtandao huu ni mateso matupu wakati sekunde za watu zinaliwa... pole
CHEAP IS EXPENSIVE
CHEAP IS EXPENSIVE
Last edited: