Mkuu ndio manini umeandika hapo.Kuhonga ndyo mistake kuu kwa watoto wa shule husimpe yeye jihonge wewe kwa pamba kali, misosi mikali kutembelewa mara kwa mara na ndugu mwenye hela au wazazi, kuwa mwanamichezo au msanii, utawamega
Tukiacha kutongoza tu...[emoji19]unamaanisha hukuwahi tongoza au?
Na hapo ndipo penye siri kubwa ya hakuna ajuaye kesho yakeKwani ungeyajua ungekuwaje na kwa kuchelewa kuyajua umefaidika nini
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kama ulianza kuhonga ukiwa mtoto hivyo,...sasa hivi hujaonga nyumba kweli?πππππ
[emoji15].....Toba.....[emoji87]Kiukweli inapobidi kwa mtoto mzuri huwa sijiulizi, ila now mpaka nihakikishe 100% ntashona marinda[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Teh teh. No ckuwa natembea uchi,but ni dharau za mademu wa enzi zile kisa tu aliniona mi mdogo mdogo, harafu yey alikuwa ana mwili mkubwa.Sasa mkuu ulikuwa unatembea uchiπ