Kwa wavulana, majibu mabaya ya kukataliwa toka kwa wasichana ambayo hutakaa usau

Kuhonga ndyo mistake kuu kwa watoto wa shule husimpe yeye jihonge wewe kwa pamba kali, misosi mikali kutembelewa mara kwa mara na ndugu mwenye hela au wazazi, kuwa mwanamichezo au msanii, utawamega
Mkuu ndio manini umeandika hapo.
 
Siwezi kukulaumu sababu I'd yako pekee ina jieleza aiseeee
 
Kiukweli inapobidi kwa mtoto mzuri huwa sijiulizi, ila now mpaka nihakikishe 100% ntashona marinda[emoji1] [emoji1] [emoji1]
[emoji15].....Toba.....[emoji87]
 
Mimi Bado sija pata shuruba ya kukataliwa labda kuzungushwa kupata jibu nilikaaa kama miaka miwili ndio nikapata jibu sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…