Mr the dragon
JF-Expert Member
- Apr 14, 2017
- 1,937
- 3,718
Mmmmh! Mkuu sijajua ulisoma pale mwaka gani, ila naomba uniambie kama huyo demu jina lake linaanzia herufi "N".Hata bongo kuna wazazi ambao huwa wanawakagua watoto wao bikra. Nakumbuka kipindi niko O'level Mbeya day kuna kigori alikuwa mlimbwende haswa, ilikuwa inasemekana mama yake anamkagua bikra.
Kuna siku nilimwingiza mpaka geto, akagoma kutoa papuchi akanichana ananiambia ana bikra na kwao huwa anakaguliwa. Nikalazimisha nikague, Aiseee nilikuta yaliyomo yamo.
Classmate wa Mbeya Day mwaka 201.... Mmenielewa.
Nyumbani kwao ilikuwa maeneo ya Ilomba. Ndio yeye?