CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
Mkuu mtoto mchanga wa some weeks nimpake vitunguu???Kuna sababu za vyakula na kujaa gesi
Maumivu yoyote mwilini hukolea usiku mwili ukiwa umepumzika
Kuna tiba ya kupakana kitunguu saumu tumboni