CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
Mkuu mtoto mchanga wa some weeks nimpake vitunguu???Kuna sababu za vyakula na kujaa gesi
Maumivu yoyote mwilini hukolea usiku mwili ukiwa umepumzika
Kuna tiba ya kupakana kitunguu saumu tumboni
Oooh unanisuprise ujue, ngoja nikuje pembeni, kama ana week kadhaa si lile tumbo la gas mama, unamfanyia massage tumboni, unamkunja vimguu kama anaendesha baiskeli inamsaidia kutoa ile hewa anapata nafuuNiko poa mamy... Huyu baby boy ndio ananichanganya mpaka nachizika!!
Mkuu ndo uniporomoshee matus!!!!! yaan mimi ni km Wali maharage!!! you must be insaneYeye ndo kafanya uitwe baba, kakuletea mtoto bila shaka ni furaha Kwako afu sahivi unakuja kuongea shombo juu yake, miezi miwili huyo bado ni mzazi shape yake haijarudi katika hali yake
Usamehewe bure.... Bora wali maharage kuliko wewe
Ha ha ha ha ha ha ha kwahiyo wali maharage ni matusi, unayajua matusi wewe?Mkuu ndo uniporomoshee matus!!!!! yaan mimi ni km Wali maharage!!! you must be insane
kwanin usitumie lugha ya staha, Sasa msichana alikuwa mzuri anawaka kabadilika nisiombe ushauri lbd kuna kitu anakosea kwenye malez!!
Usipende kuatack mkuu
Ni kipindi tu kitapita atakuja kunawiri mpaka umtamani mara tano zaidi uzazi una complications nyingi...vumilia usije ukaja kujilaumuNini chanzo cha msichana anapozaa kuharibika umbo na sura?
Mimi nimezaa na msichana wangu na analea kwao kwao hakosi kitu na mimi najikaza nampa pesa ya matumiz lkn amechakaa sana anamiez miwili toka ajifungue yaan sura yake yote ipo kwa mwanangu Millen_happy
Nilikuwa na mipango tuish wote ila Sasa ni shingo upande
Huu ndio uungwana mkuu, nashukuru kwa ushauri mkuu nitajitahid nimvumilie,.Ni kipindi tu kitapita atakuja kunawiri mpaka umtamani mara tano zaidi uzazi una complications nyingi...vumilia usije ukaja kujilaumu
Usimwadhibu mchukue toka naye kamnunulie anachopenda kisha muulize kwa upole amejuaje hayo mambo mwambie asikudanganye kwakuwa umampenda sana hutaki aende motoni kwakuwa uongo ni dhambiJana nme letetwa kesi ya mwanangu wa kiume ana miaka 4 sasa kafumwa ana fanya ngono na mtoto wa kike wa miaka 3 mitatu nme hamaki mwanangu kajifunza wapi haya mambo mpka sasa cja mfanya kitu nmetafakari kipi nifanye imebid nije hapa walau mnipe uzoefu ndio mtoto wa kwanza cna mtoto mwingine hivyo uzoefu wa malezi bado najifunza..
Naomba kuwasilisha
Asantee mkuu kwel nme fedheheka sana,Usimwadhibu mchukue toka naye kamnunulie anachopenda kisha muulize kwa upole amejuaje hayo mambo mwambie asikudanganye kwakuwa umampenda sana hutaki aende motoni kwakuwa uongo ni dhambi
Hapana huna haja ya kufedheheka tunaishi kwenye dunia ya utandawazi na mishemishe za maisha zinatufanya kwa kiasi fulani kuwa mbali na watotoAsantee mkuu kwel nme fedheheka sana,
Yeye ndo kafanya uitwe baba, kakuletea mtoto bila shaka ni furaha Kwako afu sahivi unakuja kuongea shombo juu yake, miezi miwili huyo bado ni mzazi shape yake haijarudi katika hali yake
Usamehewe bure.... Bora wali maharage kuliko wewe
Naomba kufahamu uhusiano wa mtoto kuumwa tumbo na kulia sana nyakati za usiku... Kwani hilo tumbo huwa linajua kuwa saiv ni usiku ndiposa linauma???
Lizzy, King'asti, Evelyn Salt mukujeee
Umri wako wa kuitwa Baba ulikua haujafika,unastahili kufungiwa jiwe kubwa shingoni na kutoswa baharini.Nini chanzo cha msichana anapozaa kuharibika umbo na sura?
Mimi nimezaa na msichana wangu na analea kwao kwao hakosi kitu na mimi najikaza nampa pesa ya matumiz lkn amechakaa sana anamiez miwili toka ajifungue yaan sura yake yote ipo kwa mwanangu Millen_happy
Nilikuwa na mipango tuish wote ila Sasa ni shingo upande
[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]Hata wali mkavu una thamani kubwa kuliko huyu mtu. Mpumbavu kabisa huyu
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Umri wako wa kuitwa Baba ulikua haujafika,unastahili kufungiwa jiwe kubwa shingoni na kutoswa baharini.
ww uliitwa mwanaume kwa bahati mbayaNini chanzo cha msichana anapozaa kuharibika umbo na sura?
Mimi nimezaa na msichana wangu na analea kwao kwao hakosi kitu na mimi najikaza nampa pesa ya matumiz lkn amechakaa sana anamiez miwili toka ajifungue yaan sura yake yote ipo kwa mwanangu Millen_happy
Nilikuwa na mipango tuish wote ila Sasa ni shingo upande