Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

Jamani naimba mnisaidie kujua, kwann baadhi ya wanawake wakiwa wajawazito wanawachukia waume zao? Na ni nini maana yake?
 
Itakuwa darasa maridhawa kabisa
 
Jamani naimba mnisaidie kujua, kwann baadhi ya wanawake wakiwa wajawazito wanawachukia waume zao? Na ni nini maana yake?
 
Habari za jukwaa hili..
Tatizo ambalo linamsumbua mwanangu ni kila baada ya kula anatapika na tatizo hili limeanza leo asubuhi
Naomba ushauri na mawazo yenu kwa wazoefu wa tatizo linalo msumbua mwanangu. Ana umri wa mwaka mmoja na nusu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashauri mpeleke hospital lakini pia unaweza kumpa dawa ya minyoo kwanza
Jr[emoji769]
 
Japo tunadhani kuwa changamoto za malezi ya mimba ni nyingi lakini kiuhalisia changamoto kubwa na za muda mrefu ni baada ya mtoto kuzaliwa mpaka atoke kwenye kile kipindi cha 'danger zone'
Sana asee.nawaza mimi mpaka hichi kipindi kiishe na dogo ni mtunduu balaaa
 
Mtoto anatakiwa ajaribiwe vyakula tofauti tofauti ajue ladha..
asubuhi uji
Mchana mpondee maboga
Mpondee karoti
Nk
Nk

Sema tatizo ni umasikini tu
Nadhani ni baada ya miezi 6ndo anatakiwa apate lishe hii au????
 
Maalum kwa watoto wa kiume
Si vema kumuwahisha tohara mtoto. ..hii ni kwa faida yake ukubwani, tohara inayowahi husababisha vibamia
Nagombana na baba ake kila siku alitaka nimpeleke hata 7hajamaliza ila nilijitahidi kumpotezea..natamani hata afike mwaka
 
Alimvalisha pampas?, zina madhara pia, kuna mama mmoja alikumbwa na hilo la mwanae kuumwa sana ngiri, aliposhauriwa aache kumvalisha pampas tatizo likakoma
Mungu Wangu baby wangu anatumia pampas, isije ikampata.japo huwa namuomba anayebaki nae mchana amshindishe na kptula tu.ila sidhani.mimi kama mzazi nakerwa sana nikisikia mda wote alimvalisha pampers
 
Alimvalisha pampas?, zina madhara pia, kuna mama mmoja alikumbwa na hilo la mwanae kuumwa sana ngiri, aliposhauriwa aache kumvalisha pampas tatizo likakoma
Mungu Wangu baby wangu anatumia pampas, isije ikampata.japo huwa namuomba anayebaki nae mchana amshindishe na kptula tu.ila sidhani.mimi kama mzazi nakerwa sana nikisikia mda wote alimvalisha pampers
 
Pampas (diaper) ni kwa matumizi ya muda mfupi tuu ama dharura Ila wengi huchukulia ndio nepi.. Sio vizuri hata kidogo
Mungu Wangu baby wangu anatumia pampas, isije ikampata.japo huwa namuomba anayebaki nae mchana amshindishe na kptula tu.ila sidhani.mimi kama mzazi nakerwa sana nikisikia mda wote alimvalisha pampers

Jr[emoji769]
 
Hata wakwangu kiliisha japo mwanzo niliogopa na sijampeleka hospitali.kiliisha tu.ila alikuwa anasumbuliwa na tumbo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…